afsa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 1,983
- 1,574
Wanabodi, salaam.
Wakati mawaziri wakiendelea kutoa kauli zisizoeleweka kuhusu takwa la kisheria la kupanda mshahara mtaani hali inazidi kuwa mbaya.
Unga umepanda bei sana. mwezi january unga wa sembe kilo 25 ulikuwa ukiuzwa 14,500/= kwa bei ya jumla. Leo unga ule ule unauzwa 27,000/= kwa bei ya jumla.
Hii ni kwa bidhaa mbalimbali hata nyanya zimepanda bei, hii hupelekea watumishi kutomudu gharama za kawaida za maisha.
Kupanda kwa bei ya unga kwa zaidi ya 50% kuna uhusiano wowote wa kupanda kwa bei ya mkate Sudani? Au kuna uhusiano na kuzorota kwa uchumi tunaoelezwa na IMF?
Wakati mawaziri wakiendelea kutoa kauli zisizoeleweka kuhusu takwa la kisheria la kupanda mshahara mtaani hali inazidi kuwa mbaya.
Unga umepanda bei sana. mwezi january unga wa sembe kilo 25 ulikuwa ukiuzwa 14,500/= kwa bei ya jumla. Leo unga ule ule unauzwa 27,000/= kwa bei ya jumla.
Hii ni kwa bidhaa mbalimbali hata nyanya zimepanda bei, hii hupelekea watumishi kutomudu gharama za kawaida za maisha.
Kupanda kwa bei ya unga kwa zaidi ya 50% kuna uhusiano wowote wa kupanda kwa bei ya mkate Sudani? Au kuna uhusiano na kuzorota kwa uchumi tunaoelezwa na IMF?