afsa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 1,983
- 1,574
Dirisha la nafasi ya kugombea urais ndani ya CHADEMA limefunguliwa rasmi Leo. CHADEMA safari hii wameamua kuzuia waviziaji kama mamvi.
Ni raha sana kwa Democrasia ndani ya CHADEMA. Ukitaka uenyekiti ndani ya chama nafasi zinawekwa wazi, zinatangazwa, wenye uwezo mnaomba, kura zinapigwa na washindi wanatangazwa.
Sasa wametangaza kwa uwazi kabisa nafasi nyeti, nafasi ya URAIS wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania. Tunasubiri watanzania wapenda maendeleo, wapenda Demokrasia wajitokeze kupitia CHADEMA.
Tangu nimezaliwa hadi leo sijawahi kushuhudia nafasi ya uenyekiti ikigombaniwa ndani ya CCM. Ndani ya CCM hakuna Democrasia. Hazijawahi kupigwa kura ki Demokrasia kumtafuta mwenyekiti wa chama.
Kwa sasa naambiwa hata nafasi ya Uraisi hakuna Demokrasia. Hakuna kutangaza nafasi ya urais kugombaniwa ndani ya CCM. Hakuna kumpigia kura mgombea wa urais. Ni udikteta.
Tumuombe Mungu atusaidie kutuondolea CCM madarakani huku na sisi tukipigania kuikataa kwa nguvu zote kwa sanduku la kura.
Mungu imulike CCM ianze kuiamini Demokrasia ili waweze kuitumia ndani ya chama chao.
Mungu Ibariki CHADEMA, Mungu Ibariki Tanzania.
Ni raha sana kwa Democrasia ndani ya CHADEMA. Ukitaka uenyekiti ndani ya chama nafasi zinawekwa wazi, zinatangazwa, wenye uwezo mnaomba, kura zinapigwa na washindi wanatangazwa.
Sasa wametangaza kwa uwazi kabisa nafasi nyeti, nafasi ya URAIS wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania. Tunasubiri watanzania wapenda maendeleo, wapenda Demokrasia wajitokeze kupitia CHADEMA.
Tangu nimezaliwa hadi leo sijawahi kushuhudia nafasi ya uenyekiti ikigombaniwa ndani ya CCM. Ndani ya CCM hakuna Democrasia. Hazijawahi kupigwa kura ki Demokrasia kumtafuta mwenyekiti wa chama.
Kwa sasa naambiwa hata nafasi ya Uraisi hakuna Demokrasia. Hakuna kutangaza nafasi ya urais kugombaniwa ndani ya CCM. Hakuna kumpigia kura mgombea wa urais. Ni udikteta.
Tumuombe Mungu atusaidie kutuondolea CCM madarakani huku na sisi tukipigania kuikataa kwa nguvu zote kwa sanduku la kura.
Mungu imulike CCM ianze kuiamini Demokrasia ili waweze kuitumia ndani ya chama chao.
Mungu Ibariki CHADEMA, Mungu Ibariki Tanzania.