Pambalu: Serikali ya wanyonge na wabunge wa ccm wamewasaliti watumishi

afsa

JF-Expert Member
Dec 6, 2012
1,983
1,574
*TUNAPOMKUMBUKA YUDA ISKARIOTE, TUSIWASAHAU* WABUNGE WA CCM *WALIOKATAA HOJA YA KUTETEA MASLAHI YA WATUMISHI WA UMMA ISIJADILIWE BUNGENI TUNAPOELEKEA UCHAGUZI MKUU 2019-2020.*

Na Mwl, John Pambalu.

Yuda Iskarioti (kwa Kiebrania יהודה איש־קריות), Myahudi wa karne ya 1, alikuwa mmojawapo wa Mitume wa Yesu, maarufu kwa kuwa alimsaliti mwalimu wake apate vipande thelathini vya fedha (Injili ya Mathayo 26:14-16).

*Usisahau usaliti* ni matokeo ya mtu aliye miongoni mwa watu wengine kufanya kinyume na kile walichokubaliana.

Makubaliano kati ya wananchi na wagombea wa mwaka 2015 ( wabunge wa sasa ) na vyama vyao vya siasa ni kuwa pindi watakapopewa hatamu basi watapigana kuhakikisha maslahi ya watumishi wa umma yanaimarishwa.

CCM waliahidi na CHADEMA waliahidi pia. Mwaka 2019 Mbunge *Ruth Mollel* anayetokana na CHADEMA bungeni akataka bunge lijadili juu ya maslahi ya watumishi wa umma wabunge wa CCM wakagoma.

Sio katika ukristo pekee unaokemea tatizo la kutokutimiza ahadi. Uislamu una kemea kwa nguvu sana tabia hii.

Kwa mujibu wa Hadith, "Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: (( *Alama za mnafiki ni tatu*: anapozungumza husema uongo, *anapotoa ahadi hukhalifu (hatimizi)* , na *anapoaminiwa hufanya khiyana* ))".

2019- 2020 ni mwaka wa kusahihisha makosa. Wahitimu wa vyuo na vyuo vikuu wanaopiga day worker, watumishi wa umma mnaosota na law wages ile point mashuhuri Kwenye essay za *colonial exploitation,* wafanyabiashara walio taabani kufilisika ni *2019-2020 NI WAKATI WA KUREKEBISHA MAKOSA*

Tunapomtafakari Yuda Iskariote Kwenye juma kuu la Pasaka tuyatayatafakari na maiskariote mengine,

Wasalaam.
Mwl, John Pambalu.
Diwani Kata Butimba-Mwanza.
Makamu mkt Bavicha.
jpambalu@gmail.com
 
*TUNAPOMKUMBUKA YUDA ISKARIOTE, TUSIWASAHAU* WABUNGE WA CCM *WALIOKATAA HOJA YA KUTETEA MASLAHI YA WATUMISHI WA UMMA ISIJADILIWE BUNGENI TUNAPOELEKEA UCHAGUZI MKUU 2019-2020.*

Na Mwl, John Pambalu.

Yuda Iskarioti (kwa Kiebrania יהודה איש־קריות), Myahudi wa karne ya 1, alikuwa mmojawapo wa Mitume wa Yesu, maarufu kwa kuwa alimsaliti mwalimu wake apate vipande thelathini vya fedha (Injili ya Mathayo 26:14-16).

*Usisahau usaliti* ni matokeo ya mtu aliye miongoni mwa watu wengine kufanya kinyume na kile walichokubaliana.

Makubaliano kati ya wananchi na wagombea wa mwaka 2015 ( wabunge wa sasa ) na vyama vyao vya siasa ni kuwa pindi watakapopewa hatamu basi watapigana kuhakikisha maslahi ya watumishi wa umma yanaimarishwa.

CCM waliahidi na CHADEMA waliahidi pia. Mwaka 2019 Mbunge *Ruth Mollel* anayetokana na CHADEMA bungeni akataka bunge lijadili juu ya maslahi ya watumishi wa umma wabunge wa CCM wakagoma.

Sio katika ukristo pekee unaokemea tatizo la kutokutimiza ahadi. Uislamu una kemea kwa nguvu sana tabia hii.

Kwa mujibu wa Hadith, "Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: (( *Alama za mnafiki ni tatu*: anapozungumza husema uongo, *anapotoa ahadi hukhalifu (hatimizi)* , na *anapoaminiwa hufanya khiyana* ))".

2019- 2020 ni mwaka wa kusahihisha makosa. Wahitimu wa vyuo na vyuo vikuu wanaopiga day worker, watumishi wa umma mnaosota na law wages ile point mashuhuri Kwenye essay za *colonial exploitation,* wafanyabiashara walio taabani kufilisika ni *2019-2020 NI WAKATI WA KUREKEBISHA MAKOSA*

Tunapomtafakari Yuda Iskariote Kwenye juma kuu la Pasaka tuyatayatafakari na maiskariote mengine,

Wasalaam.
Mwl, John Pambalu.
Diwani Kata Butimba-Mwanza.
Makamu mkt Bavicha.
jpambalu@gmail.com
Hao kina Yuda wamekaririshwa kusifu na kuabudu tu. Hawawezi kujadili maslahi ya wafanyakazi na watumishi ni watumwa wao
 
Ccm wengi huwa wanajiangalia wao wenyewe, familia zao, marafiki zao na pia chama chao. Hawajawahi kuwa na faida kwa watu wengine. Natamani wakati ufike ili hiki chama kipotee kwenye siasa za nchi yetu.
 
Ccm wengi huwa wanajiangalia wao wenyewe, familia zao, marafiki zao na pia chama chao. Hawajawahi kuwa na faida kwa watu wengine. Natamani wakati ufike ili hiki chama kipotee kwenye siasa za nchi yetu.
Ni wakati wetu sasa kama watumishi tunaosimamia uchaguzi kukiangusha chama cha mapinduzi
 
*TUNAPOMKUMBUKA YUDA ISKARIOTE, TUSIWASAHAU* WABUNGE WA CCM *WALIOKATAA HOJA YA KUTETEA MASLAHI YA WATUMISHI WA UMMA ISIJADILIWE BUNGENI TUNAPOELEKEA UCHAGUZI MKUU 2019-2020.*

Na Mwl, John Pambalu.

Yuda Iskarioti (kwa Kiebrania יהודה איש־קריות), Myahudi wa karne ya 1, alikuwa mmojawapo wa Mitume wa Yesu, maarufu kwa kuwa alimsaliti mwalimu wake apate vipande thelathini vya fedha (Injili ya Mathayo 26:14-16).

*Usisahau usaliti* ni matokeo ya mtu aliye miongoni mwa watu wengine kufanya kinyume na kile walichokubaliana.

Makubaliano kati ya wananchi na wagombea wa mwaka 2015 ( wabunge wa sasa ) na vyama vyao vya siasa ni kuwa pindi watakapopewa hatamu basi watapigana kuhakikisha maslahi ya watumishi wa umma yanaimarishwa.

CCM waliahidi na CHADEMA waliahidi pia. Mwaka 2019 Mbunge *Ruth Mollel* anayetokana na CHADEMA bungeni akataka bunge lijadili juu ya maslahi ya watumishi wa umma wabunge wa CCM wakagoma.

Sio katika ukristo pekee unaokemea tatizo la kutokutimiza ahadi. Uislamu una kemea kwa nguvu sana tabia hii.

Kwa mujibu wa Hadith, "Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: (( *Alama za mnafiki ni tatu*: anapozungumza husema uongo, *anapotoa ahadi hukhalifu (hatimizi)* , na *anapoaminiwa hufanya khiyana* ))".

2019- 2020 ni mwaka wa kusahihisha makosa. Wahitimu wa vyuo na vyuo vikuu wanaopiga day worker, watumishi wa umma mnaosota na law wages ile point mashuhuri Kwenye essay za *colonial exploitation,* wafanyabiashara walio taabani kufilisika ni *2019-2020 NI WAKATI WA KUREKEBISHA MAKOSA*

Tunapomtafakari Yuda Iskariote Kwenye juma kuu la Pasaka tuyatayatafakari na maiskariote mengine,

Wasalaam.
Mwl, John Pambalu.
Diwani Kata Butimba-Mwanza.
Makamu mkt Bavicha.
jpambalu@gmail.com
Baadhi ya wabunge wengi hawawakilishi wananchi, ila wanawakilisha matumboooooooooooo yaooo.
Mbunge yule alkuwa na hoja nzuri, ila wabunge wa majimbo ya matumboooooooooooo hawakuona kama ni issue to be discussed!

Kwa kweli most of the MPs wanapotosha functions of parliament
 
*TUNAPOMKUMBUKA YUDA ISKARIOTE, TUSIWASAHAU* WABUNGE WA CCM *WALIOKATAA HOJA YA KUTETEA MASLAHI YA WATUMISHI WA UMMA ISIJADILIWE BUNGENI TUNAPOELEKEA UCHAGUZI MKUU 2019-2020.*

Na Mwl, John Pambalu.

Yuda Iskarioti (kwa Kiebrania יהודה איש־קריות), Myahudi wa karne ya 1, alikuwa mmojawapo wa Mitume wa Yesu, maarufu kwa kuwa alimsaliti mwalimu wake apate vipande thelathini vya fedha (Injili ya Mathayo 26:14-16).

*Usisahau usaliti* ni matokeo ya mtu aliye miongoni mwa watu wengine kufanya kinyume na kile walichokubaliana.

Makubaliano kati ya wananchi na wagombea wa mwaka 2015 ( wabunge wa sasa ) na vyama vyao vya siasa ni kuwa pindi watakapopewa hatamu basi watapigana kuhakikisha maslahi ya watumishi wa umma yanaimarishwa.

CCM waliahidi na CHADEMA waliahidi pia. Mwaka 2019 Mbunge *Ruth Mollel* anayetokana na CHADEMA bungeni akataka bunge lijadili juu ya maslahi ya watumishi wa umma wabunge wa CCM wakagoma.

Sio katika ukristo pekee unaokemea tatizo la kutokutimiza ahadi. Uislamu una kemea kwa nguvu sana tabia hii.

Kwa mujibu wa Hadith, "Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: (( *Alama za mnafiki ni tatu*: anapozungumza husema uongo, *anapotoa ahadi hukhalifu (hatimizi)* , na *anapoaminiwa hufanya khiyana* ))".

2019- 2020 ni mwaka wa kusahihisha makosa. Wahitimu wa vyuo na vyuo vikuu wanaopiga day worker, watumishi wa umma mnaosota na law wages ile point mashuhuri Kwenye essay za *colonial exploitation,* wafanyabiashara walio taabani kufilisika ni *2019-2020 NI WAKATI WA KUREKEBISHA MAKOSA*

Tunapomtafakari Yuda Iskariote Kwenye juma kuu la Pasaka tuyatayatafakari na maiskariote mengine,

Wasalaam.
Mwl, John Pambalu.
Diwani Kata Butimba-Mwanza.
Makamu mkt Bavicha.
jpambalu@gmail.com
Ha! ha! ha!
Ujumbe mujarabu kabisa.
 
Hizi ni mbinu tu za JPM ili apate sifa ya kutangaza nyongeza mei mosi, ili aonekane ana uthubutu kuliko mawazili wake wote na anafanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana wa nchi na watumishi,
ukiwa na kichwa chepesi unaweza kuamini hizi propaganda uchwara.
 
Naliona tatizo hili la wabunge wa ccm kwa namna tofautj na huenda mtazamk wangu ni wa kweli! Wabunge wa ccm walio wengi kama siyo wote hawana uhakika wa kurudi bungeni 2020 kwani hawana wakichokitekeleza katika ahadi zao walizoahidi!
Kwa mustakabali huo wameamua kuharibu na kumfitinisha na hata kumchonganisha mwenyekiti wao kwa raia wa kada zote!
Mwenyekiti wao ashtuke mapema kuhusu mbinu hii ya wabunge wa chama chake kumsaliti na kumfitinisha kwani itakigharimu sana chama chake na yeye mwenyewe!
Awachunge sana kina supuika na naibu wake juu ya maamuzi yao kwenye mambo ya msingi kwani hata wakikosa kurudi bungeni wana mafao yanawatosha maisha yao yote!
Na huyo katibu mkuu wa ccm naye kama anawaogopa wabunge wake vile kwani hakemei juu ya tabia hii ya kukataa kujadili hoja zenye kugusa maisha ya wananchi moja kwa moja! Labda kama naye kaamua kumwangamiza mwenyekiti wake kwa kutumia ile falsafa inayosema kuwa ukishindwa kupambana nao, jiunge nao! Ccm inakwenda kushindwa uchaguzi 2020 na ndio mwisho wake! Hongereni wabunge wote wa ccm kwa kukisaidia chama chenu kufa!
 
Hii iñawezekana, lakini mbona hata jiwe anaakubalia maamzi?
Naliona tatizo hili la wabunge wa ccm kwa namna tofautj na huenda mtazamk wangu ni wa kweli! Wabunge wa ccm walio wengi kama siyo wote hawana uhakika wa kurudi bungeni 2020 kwani hawana wakichokitekeleza katika ahadi zao walizoahidi!
Kwa mustakabali huo wameamua kuharibu na kumfitinisha na hata kumchonganisha mwenyekiti wao kwa raia wa kada zote!
Mwenyekiti wao ashtuke mapema kuhusu mbinu hii ya wabunge wa chama chake kumsaliti na kumfitinisha kwani itakigharimu sana chama chake na yeye mwenyewe!
Awachunge sana kina supuika na naibu wake juu ya maamuzi yao kwenye mambo ya msingi kwani hata wakikosa kurudi bungeni wana mafao yanawatosha maisha yao yote!
Na huyo katibu mkuu wa ccm naye kama anawaogopa wabunge wake vile kwani hakemei juu ya tabia hii ya kukataa kujadili hoja zenye kugusa maisha ya wananchi moja kwa moja! Labda kama naye kaamua kumwangamiza mwenyekiti wake kwa kutumia ile falsafa inayosema kuwa ukishindwa kupambana nao, jiunge nao! Ccm inakwenda kushindwa uchaguzi 2020 na ndio mwisho wake! Hongereni wabunge wote wa ccm kwa kukisaidia chama chenu kufa!
 
Hizi ni mbinu tu za JPM ili apate sifa ya kutangaza nyongeza mei mosi, ili aonekane ana uthubutu kuliko mawazili wake wote na anafanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana wa nchi na watumishi,
ukiwa na kichwa chepesi unaweza kuamini hizi propaganda uchwara.
Umeona mbali sana kiongozi
 
Mm naamini Magufuli kuna siku atatuongezea nyongeza ya mshahara hili sina wasiwasi hajawahi kushindwa hata jambo moja, tuwe wavumilivu watumishi wenzangu
 
Back
Top Bottom