Ni kukosa heshima na utu dhidi ya mahg kusema wachafu. Uchafu ni hulka ya mtu. Kwani wapo wanawake warembo kwa nje ila ni wachafu kweli wananuka mkojo na jasho kali. La msingi ni mke kujua wajibu wako kwa mume na kutimiza. Ukishindwa utasaidiwa tu
Kiukweli tigo wamelewa sifa. Wanachofanya ni utapeli kwan ukiona kabaang iko juu basi extreme wameshusha. Wakipandisha extreme kabaang ipo chini. Tena vocha zao kukwangua n ngumu na ukitumia nguvu kidogo umeharibu, lengo lao tununue nyingine. Chukua hatua tigo si baba na mama ako uing'ang'anie
Ze duduz kasema vema. Bikira ni msichana ambae hajawahi kujamiana yaan uume haujaingia ukeni mwake. Hali kadhalika na mwanaume pia bikira ambaye hajaingiza uume wake ukeni tangu kuzaliwa kwake.
We lea mimba yako. Mtoto akizaliwa atampenda tu. Kama vipi mwambie aandike kwa maandish kukana hiyo mimba, atie sain ya dole gumba. Atapohitaji mtoto baadae alipe ghalama zako zoteee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.