Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,822
Good girls always hujikuta mikononi mwa rude boys,pole xana just live u ar life tu
1000% correct
Good girls always hujikuta mikononi mwa rude boys,pole xana just live u ar life tu
king kan ni ndugu yangu kiukweli.....na wala halijui hili
Ulianzaje kujiachia kubeba mimba kabla hujaolewa? Pole
Pole lea mimba taratibu mtoto tutasaidiana usijali na usikubali kutoa mimba
kwani hujalala tu rafiki? au bado unasikilizia uchungu wa mtu kukaa miaka 9 bila ndoa?Mbona umeguna tena Queen Kan....am.just trying to be a gentleman here inaonekana huamini ndo.maana tunaonewana ww unatendwa na rough guys lol
Cc Fixed Point Kongosho
am sorry to say this but hii tabia ya wasichana kukimbilia kubeba mimba sikuhizi kabla ya ndoa inanikwaza sana
naelewa unachomaanisha
katika wanawake wote hapa jf wee ndio mwenye akili. ...yaani wanawake wamekuwa so selfish.....wee hamna mtoto anayependa kuzaliwa nje ya ndoa....just becoz hawezi sema dnt mean haumii moyoni.
ladies need to get it in their heads kuwa mwanaume kukugegeda kavu dnt mean ataka mtoto...mwanaume akitaka kuzaa na wewe atakwambia tuu.
huu ni uzembe...wee unasoma bado tena wabeba mimba jamani loh....muwaomee huruma wazazi wenu jamani maana mcnuma janga hula na wa kwao
Kila mtu humu ndani ni mlokole, na kwa sababu yanayotusibu hata ukiyaandika vipi hayawezi kuakisi ule uhalisia wa tunavyoumia basi utaishia kupata majibu ya ki-theory tu.
Tena kimoyo moyo kuna watu humu ndani wangetoa mapema bila hata kufungua thread, ushauri wao sasa!
Akili ya kuambiwa ....
katika wanawake wote hapa jf wee ndio mwenye akili. ...yaani wanawake wamekuwa so selfish.....wee hamna mtoto anayependa kuzaliwa nje ya ndoa....just becoz hawezi sema dnt mean haumii moyoni.
ladies need to get it in their heads kuwa mwanaume kukugegeda kavu dnt mean ataka mtoto...mwanaume akitaka kuzaa na wewe atakwambia tuu.
huu ni uzembe...wee unasoma bado tena wabeba mimba jamani loh....muwaomee huruma wazazi wenu jamani maana mcnuma janga hula na wa kwao
asante galfriend......nimejifunza sana kupitia hili, pia naamini nothing stands still
Mwanachuo mzima ushindwe lea katoto kamoja? Hivi wengine mmekulia wapi?
Naona ni mie tu nimekulia kwenye mikiki mikiki, huu umayai unatoka wapi?
Kwa hiyo unashawishika kutoa?