House girls na akina baba

House girls na akina baba

Siku mtakapo acha kuwadhaurau house girls na kuwaona kama wanawake wenzenu ndio mtashinda (stop looking down on house girls) tofauti yake na wewe labda ni elimu tu na wewe unafanya kazi kwenye ofisi na yeye ofisi yake ni nyumbani kwako. when it comes to sex,caring and compassion you r equal or even she is better than u so be careful.
 
Siku mtakapo acha kuwadhaurau house girls na kuwaona kama wanawake wenzenu ndio mtashinda (stop looking down on house girls) tofauti yake na wewe labda ni elimu tu na wewe unafanya kazi kwenye ofisi na yeye ofisi yake ni nyumbani kwako. when it comes to sex,caring and compassion you r equal or even she is better than u so be careful.

Labda uwaambie kwa kilatini ndo watakuelewa vizuri. Eti mtoa mada anasema hawajui kuosha K..... angejua labda bwana ake ndo anaiosha tena kwa ulimi asingeleta kibri mbele ya mabazazi hapa.
 
@ hiv wanawake hukko nje wameisha had umchukue hg?

U house girl ni kazi kama kazi zingine, hivo unahalalisha mme wako akatafute mchepuko nje? ,

Na ma housegirls ni wanawake kama wanawake wengine ila kwa nini baba atumie cheo chake cha u father house kumlaghai na kumtumia huyo bint?
Kama mke ana mapungufu na mume kaona suluhu ni kutafuta mwanamke mwingine basi aende street huko akakutane na wa kum challenge atakayem face kama his equal.
Akishazoea mteremko ataanza na housegirl then mashemeji na hatimaye mabint zake!!!
 
hehehehe waambie hao wanaopenda kuvua pichu za kila wamuonaye mengne hata mswak hayajui kupga halafu wanaleta mbwembwe

hg wa siku hizi wananoga jaman..sasa kama mke anadai kachoka mi nifanyeje wakat njia mbadala ipo!?
 
[/B]
Nisichojua ni kwa nini hamuwaoi hao!

haa! Kumbe hujawahi kuona hausgeli kapindua ndoa?? Kuna baadhi ya hg ni visu tena bonge la heshma anakufanyia vitu adim zaid ya mwanamke ulienae sasa kwann nisi mpe haki yake aitakayo?
 
Kuna mdau moja amenichekesha sana jana yeye anakula Hg wake , anasema ukiwatafuna wanatulia hawaondoki ,Hg alifanya kosa akataka kumfukuza aliliaje na kuomba msamaha. Hg akienda dukani jamaa anapata wivu. anasema hamuamini mkewe kwa asilimia 100 anaweza akawa anachepuka ila kwa Hg hana wasiwasi ni yeye peke yake. lol......
 
Siku mtakapo acha kuwadhaurau house girls na kuwaona kama wanawake wenzenu ndio mtashinda (stop looking down on house girls) tofauti yake na wewe labda ni elimu tu na wewe unafanya kazi kwenye ofisi na yeye ofisi yake ni nyumbani kwako. when it comes to sex,caring and compassion you r equal or even she is better than u so be careful.

aisee! Borra umewapa ujumbe mzur...... Kuna mahg yaan ni wazur zaid hata ya mke wa ndan ila wanakuwa wamekosa matunzo.... Iwe kwa sura, kitandan, maandaliz ya chakula na pia kauli.kuna wakat unaweza kujillaum kuwa kwann usingemuoa yeye na ukaachana na mkeo? Achen kuwadharau hg wako vizr kuliko nyinyi
 
mtu unaishi nae nyumba moja, kuna haja gani ya ndoa hapo?.......ma hg wana joto zuri jaman....sitamsahau hg wangu wa kimakonde!

Ngoja aje mdogo wako hapo uanze kumuita housegirl shemeji tu!!!!
 
Wanawake wengi wanayataka wenyewe;
wao na sofa wao na tv wao na jf;
house gel hadi kutandika kitanda
na ni kwanini baba asimle tena ukizingatia ana
joto kuliko maza hausi.
 
haa! Kumbe hujawahi kuona hausgeli kapindua ndoa?? Kuna baadhi ya hg ni visu tena bonge la heshma anakufanyia vitu adim zaid ya mwanamke ulienae sasa kwann nisi mpe haki yake aitakayo?

Nimeshaona sana!
Ujinga wa wanaume wapenda mteremko sasa,akishampandisha cheo housegirl atataka ampandishe hadhi amfungulie hata biashara ya kum keep busy then nyumbani wanaweka msichana mwingine kuwasaidia na baba ataanza kumkula tena!!!!
Ni kama kula nyama ya mtu tu!!!!
 
Ni kukosa heshima na utu dhidi ya mahg kusema wachafu. Uchafu ni hulka ya mtu. Kwani wapo wanawake warembo kwa nje ila ni wachafu kweli wananuka mkojo na jasho kali. La msingi ni mke kujua wajibu wako kwa mume na kutimiza. Ukishindwa utasaidiwa tu
 
Naujue kabisa wanaowala mahausigeli sio waume tu,samtaimz hata watoto wa mwenye nyumba wanajimegea
 
Hapigi mswaki ila anakulelea wanao!

kama mumeo anakula HG Ambaye Hafui chupi,na kukuacha wewe mwenye kufua chupi inabidi ujitathmini saana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom