Hivi ndio maana kwenye whatsapp nashindwa hata kudownload picha siku ya pili sasa
Bro tigo iko vizur mfano now wana kifurushi cha ofa maalum ndani yake kuna kifurushi cha dakika 20 bila kikomo ambacho pia unapata 175mb kwa shilling 1000 ambacho unatumia mpaka pale zitakapoisha asa utapata wapi vitu km hivi mtandao mwingine
Hapo kwenye MB 175 ni utata
Zantel vipi?ijaribu maana nipo huku mwaka wa 3 sina shida kabisaTigo wanazidi kufukuza wateja. Eti huwezi ingia internet ukiwa na MB kama simu haina salio la 150.
Hii kali mkuu,.
Kama umeshindwa huduma za Tigo utaenda wapi sasa?
Tigo wanazidi kufukuza wateja. Eti huwezi ingia internet ukiwa na MB kama simu haina salio la 150.
Nimepokea kwa masikitiko makubwa sana kuhusu mabadiliko ya vifungu vya Mini-Kabang vya Tigo. Kwa kweli hivi ndivyo vilinisababisha kuendelea kufuruhia mtandao wetu pendwa wa Tigo..Lakini marekebisho waliyoweka yako juu na yatakuwa yanatunyonya wala hayajakaa kiushindani wa biashara ya mawasiliano Tanzania. Hii inafanya Tigo kuwa na garama za juu kuliko mtandao wowote wa mawasiliano Africa Mashariki na Kati.
Plse, Tigo fikirieni hili kabla ya kutekeleza, tena mmetekeleza kimya kimya!!
Unatokea wap utata mkuu?
Hazinitoshi kabisa mkuu, mimi ni heavy user
Nimepokea kwa masikitiko makubwa sana kuhusu mabadiliko ya vifungu vya Mini-Kabang vya Tigo. Kwa kweli hivi ndivyo vilinisababisha kuendelea kufuruhia mtandao wetu pendwa wa Tigo..Lakini marekebisho waliyoweka yako juu na yatakuwa yanatunyonya wala hayajakaa kiushindani wa biashara ya mawasiliano Tanzania. Hii inafanya Tigo kuwa na garama za juu kuliko mtandao wowote wa mawasiliano Africa Mashariki na Kati.
Plse, Tigo fikirieni hili kabla ya kutekeleza, tena mmetekeleza kimya kimya!!
Hivi ndio maana kwenye whatsapp nashindwa hata kudownload picha siku ya pili sasa