Ujue watz tunatatizo kubwa na ni janga, watu kwenye story utasikia nataka kaz ya kulipwa 1m. Wakat kuna watu wanalipwa elfu 60 per month na kila kitu kwake, kwa ninavyojua hao watu sehemu ya mgahawa walio wengi wanalipwa 2500 had 3000per day, otherwise iwe hotel, mi nishakuwa na hiyo kitu na...
Umeona yy hajaendelea mpaka sasa kwan hajui kama si yake? Na anajua kabisa plagiarism adhabu yake ni nn? Angekuwa kua chuo tayar ashadisco huyu!!! Edit pale juu kama mwandishi ni flani na siyo kujiweka ww ndiyo mwandishi wakati hata ujanja huo wa kufikili hauna!!
Hii story ni nzur mno, bt muwe mnaandika quotation coz hii ni plagiarism, ulichobadili ni majina na mwanzo kwamba ulikuwa ukitumia sigara na kuna mwingne pia ariiba akaandika alikuwa anatumia pombe huko insta na nilivyomwambia kama cyo yake akaniblock, naona ww umeamua kumodify kwa majina ya...
Nakuunga mguu watu huzan kuwa vijijin si Tz wakat ndiko waliko zaliwa, afu kuna mwaka gani ambao mwez wa 12 kuelekea wa kwanza maisha yanakuwa mepesi? Too much polojo zisizo na kutumia akili waleta uzi itabid ziishie huko huko vichwan mwao
Haaa haaa, hujaolewa ww bdo ndo maana unaongea hayo subr ukiolewa urudishe majibu hivi unajua wanaume walivyounfaithful? Unazani wanawake wote wanacheat ni kwamba hawajui huo ukimwi na hao wanaume ambao unawatetea ni kwa kiasi gani cyo waaminifu, angekuwa yy mwaminifu angesha tengeneza fumaniz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.