Ngumu kumeza
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 577
- 354
Kaka jivike ujasiri mwambie ya moyoni, utajionaje kwamba umejichelewesha afu siku ya siku unapigwa chini.
Hiyo itakua ni namba ya moja kati ya yale makontena yaliyopotea bandarini aisee...😀0766860896
Nilisaidia kutoa number si alisema akusaidie kumkatia huyo kemfa.Hiyo itakua ni namba ya moja kati ya yale makontena yaliyopotea bandarini aisee...😀
Hawatakagi maharage ya Mbeya .. Naona kakutana na makande sasa avumilie
kweli amekutana na makande. Hizi changamoto ndo tunazitaka ila msiwe wagumu sana teeeh teeehHapo kwenye avatar ni wewe au?Hii ndo ule ufala sipendi, yaani kama ndo number yangu, wacha story ikatike.
Uzuri sinanga privacy, kwenye suala la avatar. Only my image will appear, hiyo tu. It's me. Kuna noma?Hapo kwenye avatar ni wewe au?
Wala hakuna noma. Basi tu nimeielewa tuUzuri sinanga privacy, kwenye suala la avatar. Only my image will appear, hiyo tu. It's me. Kuna noma?
Fiti chalii.Wala hakuna noma. Basi tu nimeielewa tu
Mm ndo huyo mdada, kumbe unakuja jf kuomba wakufundishe jinsi ya kutongoza afu unajitia na ww ni mwanaume, tafadhal usisogee kabisa mbele yangu!!Wakuu katika kuzunguka huku na kule nilivutiwa na huyu mdada, sikuwa na papara baada ya utafiti wangu mdogo nimegundua ni mtu mwenye busara na pia anajiheshimu!
Sasa nimejitahidi mara kadhaa kuonana naye nikachemsha, na hata baada ya kuonana naye nimemuomba namba akakataa nikaona isiwe kesi, maana kupata namba yake sishindwi!!
Sasa nimepata namba yake mahali, na bado sijamtafuta maana nahofia kuharibu, uzoefu unaniambia hivi, kuchukua namba ya mtu bila ridhaa yake na isitoshe mwenyewe aligoma kutoa, mission huwa zinabuma.. Yan kushindwa kueleweka ni kukubwa kuliko kueleweka!!
Sasa wadau nipeni mbinu, maana nia ipo kama ataelewa lengo ni kumuweka ndani awe mke!!
Teh teh teh teh.....Acha fujo mkuu....wasio penda kutoa namba wanatoa papuchi kwa uraisi ww nenda kaombe papuchi achana na namba