RIWAYA: Ripoti kamili

RIWAYA: Ripoti kamili

Hii story ni nzur mno, bt muwe mnaandika quotation coz hii ni plagiarism, ulichobadili ni majina na mwanzo kwamba ulikuwa ukitumia sigara na kuna mwingne pia ariiba akaandika alikuwa anatumia pombe huko insta na nilivyomwambia kama cyo yake akaniblock, naona ww umeamua kumodify kwa majina ya wahusika, mtunzi kabisa mdada aliitwa betina, ww ukaamua kukata jina kwa mbele na yy aliandika english na kwa vile watz wavivu au wengi hawafahamu ngeli basi ulivyotafsiri ukaonekana kama mtunzi ni ww. Bt watz tujifunz kuappreciate cha wenzetu na cyo kuiba na kukifanya chetu tutakuwa hatuendelee kwa wenzetu kwa hili ulitakiwa uwejela nw... sorry for interruption
 
Hii story ni nzur mno, bt muwe mnaandika quotation coz hii ni plagiarism, ulichobadili ni majina na mwanzo kwamba ulikuwa ukitumia sigara na kuna mwingne pia ariiba akaandika alikuwa anatumia pombe huko insta na nilivyomwambia kama cyo yake akaniblock, naona ww umeamua kumodify kwa majina ya wahusika, mtunzi kabisa mdada aliitwa betina, ww ukaamua kukata jina kwa mbele na yy aliandika english na kwa vile watz wavivu au wengi hawafahamu ngeli basi ulivyotafsiri ukaonekana kama mtunzi ni ww. Bt watz tujifunz kuappreciate cha wenzetu na cyo kuiba na kukifanya chetu tutakuwa hatuendelee kwa wenzetu kwa hili ulitakiwa uwejela nw... sorry for interruption


Mkuu, unaweza nisaidia hiyo story orijino mwandishi wake ni nani? Na ninaweza ipata wapi?
 
Watu wengine bwana,umeathirika wapi jamaa kutupatia hii story?
Mzaramo tupe vitu bana.
Umeona yy hajaendelea mpaka sasa kwan hajui kama si yake? Na anajua kabisa plagiarism adhabu yake ni nn? Angekuwa kua chuo tayar ashadisco huyu!!! Edit pale juu kama mwandishi ni flani na siyo kujiweka ww ndiyo mwandishi wakati hata ujanja huo wa kufikili hauna!!
 
Hivi ni wapi mzaramo amesema hii hadithi ametunga yeye kwa wale walioanza kusoma toka mwanzo mzaramo alishamtaja mwandishi ambae ni George Iron Mosenya almaarufu kama George wa hadithi sasa sijaelewa kosa la mzaramo ni lipi au ndio hii tabia iliojengeka hapa JF ya kujiona mtu kila jambo analijua?
 
Back
Top Bottom