Kwanini wanaume wa Tanzania wapo hivi?

Kwanini wanaume wa Tanzania wapo hivi?

Wanawake wa kidhungu wana maneno kuntu kama ya kwenu? Mbona hamjifunzi?

kuna wakat wanawake wte wanakua sawa. hamna mzungu au mtanzania. ktk wakat huu mwanamke anaweza akajbu majbu machaf lakin baadae anaweza kujutia. kutokana na hormones. ni km nature. lakin wanaume wte ni sawa kwahyo mjifunze kwa wenzen
 
Mi nadhani huwezi kutukanwa bila wewe kutoa majibu machafu.Kuna wadada wanatabia chafu sana ukimtongoza kama hakutaki atakunyamba na kukutukana mpaka utajuta asa mtu kama huyo akikutana na mwanaume mwenye kauli chafu lazima arudishe mapigo.Nani atakubali kudhalilishwa akae kimya?Me nadhani hata kama humpendi mtu usimtukane hata kama niling'ang'anizi jitahidi.Mwanamke anayetongozwa anatukana au mwanaume anayetongoza anatukana ujue hao watu tabia zao zinakasoro.Ukiona umemkataa mtu au umemtongoza mtu anakutukana huyo hakufai kabisaa
 
kila mtu na mbinu zake katika kutongoza, kutongoza nu imani kama imani nyengine
 
Unaangalia sana La Muje... zile ni tamthilia tu.
 
Kuku wa kienyeji ukimtongoza lazima akutole maneno machafu.. Kuku wa kizungu ukimtongoza ndio kwanza anaongeza urafiki kama hakutaki.. Hivi kwann kuku wa kiswahili wanakuwa hivi jamani

Duh we unatongoza had kuku?
 
Post zingine du! unazungumzia wazungu wapi?? hawa hawa wanaooa asubuhi mchana wanadivorce au wengine!!!!!!!!!!!! Sana sana wanaume wa majuu wanaogopa sheria manake ukishitakiwa na m/ke hata kesi ya kijinga huchomoki halafu watu kuanzisha kesi ni jambo dogo kweli ukiona kanyamaza anaogopa lupango siyo kwamba anaupendo eti mpaka lol
 
wewe umeshatema mbovu,kwa nn na mimi nisikuletee zile za kimanyema!?
 
Kutongoza ni haki ya kuzaliwa, haki ya kushawishi ni haki ya asili kabisa, sasa matusi ya nini,wewe nijibu tu vizuri. Nitang'ang'ana itafika kipindi nitakwacha uende zako
 
Back
Top Bottom