Mkuu siyo kweli, martial hata akiona mpira unakuja usawa wa kupiga kichwa sometime anakwepa kidogo, Si kwamba hajui hapana ila ni mzuri sana akitokea pembeni bt nakukumbsha tu angalia ni striker gani epl bishoo na mlegevu kama martial hapo ndo utagundua kua kile ni kipaji chenye uvivu ndani...
mkuu umenena vema ila kiukweli Ole kiufundi na uwezo bado kuweza kufundisha club yenye pressure kubwa kama utd, hana mipango ya ushindi kila siku anakuja na kikosi na mfumo mpya wachezaji watacopy vip. Ole ni kocha anaetaka kujificha nyuma ya uzembe wa kusajili wakati ana kikosi kipana...
mkuuu umeongea point lindelof amecheza vizuri sana, kuna kitu nimegundua jana na nikarud youtube kuangalia upya maguire huwa anakaba kwa kutegea sana ila lindelof anapambana all the time na kila mahari ila yeye ndo hulaumiwa, kingine maguire hayuko sawa anabid apumzike atulize akili
hayo yote ni sawa hata mm nimefurah angalau bt tusipobadili kocha ni kazi bure mkuu mana sioni anachoongeza kwa wachezaji mana kila kukicha viwango vina drop tu.
huyu dogo anajua ni kama tu Djames kipind anafika man utd,bt shida ni kwamba Djames alikua kama huyu kocha akamdidimiza kipaji chake je vip kuhusu huyu pia? ukiangalia kwa umakini utagundua huyu ni daniel james wa pili hivo bado tunarud palepale ila kocha afukuzwe tu hana jipya kiufund. Yani eti...
daah we jamaa umeona mbali sanaa umeongea point wenye mapenzi na utd wanaelewa hili, tuache ushabiki ili kuficha makosa hata kama tunaipenda timu yetu tusifiche makosa,
Dj, bissaka viwango vyao vimedrop hata ukiangalia maguire pia kocha ameshindwa kuwajenga kisaikolojia hata kiufundi pia...
itafika wakati atataka kumuuza ad bruno wasipoangalia mana, huyu kocha hana mbinu za kiufundi kabsa kashusha viwango vya wachezaji toka aje mfano daniel james, bissaka , maguire, hata bruno ukianza kuangalia unaona ananza kushuka na si ajabu hata sancho akaja akawa boya tu, mana kocha hatuna...
katunyima imani kwenye mechi ndogo tumpe imani kwenye mechi kubwa huu ni ujinga, kocha hamna pale tutafte kocha mwenye ufundi na mbinu za kutosha, mfano kikosi kilichocheza jana kimeonyesha angalau wana fight ushindi kuliko hyo first eleven yenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.