Mkuu kwani Guardiola amekuzaje kipaji cha sterling?
Ole hakimbii lawama za kuflop kwa DJ mbona akiwa Wales anacheza kwa confidence na anaassist na kuscore kwanini isiwe kwetu? unamuanzisha mata 7 DJ benchi unataka afeel vipi yani mtu ambaye sio namba 7 acheze namba yako hata wewe lazima uhisi kudharaulika.....
na kama tetesi ni za kweli board wametumia akili kugoma kukubali mawazo ya Ole kuwa DJ auzwe Leeds....haiwezekani mchezaji mwaka mmoja tu alafu umuuze kwa kutegemea uongezewe hela ulete mwingine nooo....
Bissaka anafuatia amekuwa too sloppy hata confidence anakosa sikuhizi anashinda sana nusu ya uwanja ya mpinzani kiasi kwamba anasahau majukumu ya kukaba, kama sio kuona aibu basi Ole angeomba anunuliwe beki no 2 mwingine (Usinipe habari za Guardiola kwamaana hii ni machester united na sio City) by the way tuna scouting kubwa kuliko city so ni rahisi city kufanya mistake kuliko sisi
Ole anashindwa kutumia strengths za wachezaji alionao.... alizeti huchujwa na mashudu hubaki ambayo nayo huwa na faida zake pia.....Ole ameshindwa kuchuja mafuta (Uwezo) kwa wachezaji wetu ajabu alimkataa Lukaku anamchezedha martial hapo 9 Sahizi anamleta Cavani kwa €10mil (agent fees) 34yrs hapo usisahau ameshindwa mtumia Ighalo anaongeza mwingine.....
watu wengi wanatamani kuona tukicheza na Bruno,Pogba na VDB lakini sioni hilo likitokea kwa maana kocha hana uwezo wa kuwaaccommodate wote 3 kwenye midfield kwamaana hawezi kucheza attacking football (Ukiwa na aina ya hao viungo 3 inabidi uwe unacheza attacking football yenye kumiliki mpira kana city,bayern or liverpool)
Mbinu mbovu, uwezo mdogo, maamuzi mabovu na kutokusoma alama za nyakati ndicho kitakachomfelisha Ole defensive team kama Brighton wanatuzidi possession kwenye game ya ligi kweli tupo serious....
Ngoja tuone ila kichaka cha kujificha kinazidi kukauka nyasi, msimu huu ni either aoneshe kweli anauwezo au aoneshe sio mtu sahihi.....
Issue ya DJ ni very clear Ole alikurupuka kumsajili bila kumjua mchezaji alipewa feedback tu akajichanganya same kwa Bissaka....