Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mashabiki wa Man U Kama hamjaridhika na matokeo mnaweza mkaungana na wenzenu leo kuandamana
 
Oyaa bado mmelala humu? Taarifa niliyopata ni kwamba mazishi ni leo hivyo tumeona ni busara tukileta salamu za rambirambi mapema
IMG_20201102_072911.jpg
 
On/off zimekuwa nyingi sana na ndio maana tunaendelea kusema ushindi wa timu ni juhudi za wachezaji na si mbinu za ogs. Haya,tuna match fitness,kikosi kipana na tumepata mfumo/kikosi cha kwanza Ila tunafungwa na arsenal yenye bukayo saka!
Kuja na hoja ya kumkosa martial na/au Sancho haiwezi kuwa sababu kwanini timu inacheza back pass kila muda.

Mbali na kuzidiwa mbinu na arteta tangu mwanzo wa mchezo,tatizo kubwa la man utd ni kuwa na work rate ndogo ukilinganisha na wapinzani wetu,mwalimu kuwaogopa pogba na rashford kufanya vitu kwa mazoea.
mkuu umenena vema ila kiukweli Ole kiufundi na uwezo bado kuweza kufundisha club yenye pressure kubwa kama utd, hana mipango ya ushindi kila siku anakuja na kikosi na mfumo mpya wachezaji watacopy vip. Ole ni kocha anaetaka kujificha nyuma ya uzembe wa kusajili wakati ana kikosi kipana. Nakuhakikishia mkuu hata man utd aje mess na Ronaldo na mbape Ole hawez kutupa matokeo sahihi
 
United imekuwa ya kungata na kupuliza;

✓Ole ngoja nimpumzishe...Tunajua huu mzigo ni mzito kwake..Poor team management,and poor football awareness(reading the game)..Tunabahatisha tu..Tengeneza timu compact kila idara na yenye discipline na consistency,hapo ndo utaitwa Kocha wakueleweka..Timu linapelekwa pelekwa tu

✓Kocha mpya akija inabidi Pogba auzwe kabla ya jambo lolote..Mchezaji kashachezeshwa kila eneo ila utoto na inconsistency haiishi..

✓Bruno post lockdown perfomance is awfull..wakuu tuwe wakweli,najua kuna mechi anafanya vitu ila pia anacheza vibaya,anapoteza possession kila mara na kuna kuna muda hafanyi vitu simple tu,ana complicate mambo...

✓Hii timu build up yake kutoka nyuma ni disaster..tukiachiwa tucheze mpira hatuwezi kabisa

***Kwa sasa naangalia tu mechi na kuziacha hivyohivyo,tufungwe, tushinde IDGF***TUNABAHATISHA TU WAKUU
 
POGBA SASA AMEKUWA MZURI SANA..HAPO KATIKATI KUSHOTO ANACHEZA VIZURI SANA, KWANI ANAPANDISHA MASHAMBULIZI NA ANARUDI HAPO KWA SHAW KUMPA TAFU, KAMA ULIANGALIA MECHI YA UCL UTAELEWA.
Sawasawa.

1604260896296.jpg
 
Back
Top Bottom