salmin siraj
Senior Member
- Oct 10, 2017
- 198
- 204
Ulishawah kumpatia matibabu
Miaka kama mitatu anatoa hicho kinyesi na kukohoa kama mpaka
Miaka kama mitatu anatoa hicho kinyesi na kukohoa kama mpaka
Mimi vifaranga wangu wana umri wa mwezi mmoja na nusu, bado sijawapatia chanjo yoyote, je kuna tatizo nikianzia hapa kuwapatia mtiririko wa chanjo? Asante.Mkuu pole sana kwa viranga wako kushambuliwa na ndui (chicken pox) kwa ushauri fanya yafuatayo
Angalizo: usiwape kinga yoyote ya ndui kabla ya muda muafaka haujafika mkuu na imani nitakuwa nimekusaidia kwa namna moja ama ingine
- Kwanza hao viranga waliopatwa na ndui ni vyema ukawachukua na kuwatenga na viranga ambao hawajaonesha dalili yoyote ya ndui (hapa namaanisha uwahudumie peke yao)
- Pili vyombo vyote vya chakula na maji unaweza kuvisafisha na bleach agent yoyote kama vile 10% ya sodium hydroxide or sodium hypochlorite kabla ya kuweka maji or chakula
- Na mwisho kwa kuwa huu ungonjwa huenezwa na mbu ni vyema kama kuna madimbwi ya aina yoyote karibu na banda lako la kuku ni vyema ukayafukia ili kuepeka kuenea kwa ugonjwa huo katika kuku wako
Bila shaka watakuwa vifaranga wa kienyeji? Kama ndio wapatie katika umri huo hakuna tatizo lolote hapo.Mimi vifaranga wangu wana umri wa mwezi mmoja na nusu, bado sijawapatia chanjo yoyote, je kuna tatizo nikianzia hapa kuwapatia mtiririko wa chanjo? Asante.
Bila shaka ulifanikisha hitaji lako boss wanguAnaejua kifaa kinaitwa PIG SNARE kinauzaa bei gani na naweza kukipata wapi msaada please
Upo wapi?Habari !
Ngombe wangu Wana tatizo . Kwanza walikua wanamimba wote wawili , then zlivofik miez minne - mitano zikatoka wote .
Baada ya hapo wamekua wakiingia joto lakin kila nkiwapandisha hawashiki mimba wote na ndama wao wameshakua wakubw wanakaribia mwaka, still ngombe bado wanakamuliw .
Tatzo langu ni kwanini hawashiki mimba wote kila wakipandwa . Nimewapandisha Kama Mara nne hivi .
Asanteni
nb: hao waliotoa mimba ndo hawashiki sahivi mwenzao mwingne yeye hakutoa mimba yake ni kubwa sahiv
NISAIDIE TAFADHALI. NGOMBE WANGU ANAKOHOA SASA NI KAMA MWEZI N ZAIDI , TATIZO NI NINI? Dawa za minyoo nimmpa, sindano za OTC 20 nimempa bado tu! Nisaidie nitumie dawa gani na ni ugonjwa ganiBila shaka watakuwa vifaranga wa kienyeji? Kama ndio wapatie katika umri huo hakuna tatizo lolote hapo.
Ukiacha dalili hiyo ya kukohoa kuna dalili nyingine ambayo ameionesha? Kuna dawa kiboko kwa ajili ya changamoto za kukohoa ila bei yake iko juu sana kampuni ya Zoetis kama utakuwa vizuri nikuunge na muuzaji moja kwa moja.NISAIDIE TAFADHALI. NGOMBE WANGU ANAKOHOA SASA NI KAMA MWEZI N ZAIDI , TATIZO NI NINI? Dawa za minyoo nimmpa, sindano za OTC 20 nimempa bado tu! Nisaidie nitumie dawa gani na ni ugonjwa gani
Asante Sana Dr. Ni Kama Bei gani kusudi ukiniunga naye niwe na hela tayari anitumie nimlipe maana ngombe wangu Ni wa muhimu kuliko hela.Ukiacha dalili hiyo ya kukohoa kuna dalili nyingine ambayo ameionesha? Kuna dawa kiboko kwa ajili ya changamoto za kukohoa ila bei yake iko juu sana kampuni ya Zoetis kama utakuwa vizuri nikuunge na muuzaji moja kwa moja.
Na kuhusu bata wako mwezi mmoja bado wadogo sana labda kama utaweza kuwaandalia mazingira ya joto sehemu yao ya kupumzikia.
Kabisa mkuu shukranBila shaka ulifanikisha hitaji lako boss wangu
Kwa mahitaji ya vifaa vya nguruwe, vitamins booster tuwasiliane pia mkuuKabisa mkuu shukran
100mls inaenda zaidi ya 68,000 the best of the best from ZoetisAsante Sana Dr. Ni Kama Bei gani kusudi ukiniunga naye niwe na hela tayari anitumie nimlipe maana ngombe wangu Ni wa muhimu kuliko hela.
Dr. Mbonà Bata wanalala peke Yao Wala mama Yao hawafuniki kwa mbawa?
Asante Sana kwa ushauri. Appreciated!
Upo wapi mkuu? Of course Nina project kubwa ya nguruwe ebu nijue sehem ulipoKwa mahitaji ya vifaa vya nguruwe, vitamins booster tuwasiliane pia mkuu
Napatikana madale, karibu sanaUpo wapi mkuu? Of course Nina project kubwa ya nguruwe ebu nijue sehem ulipo
Hlw mkuu naomba tuwasilianeNapatikana madale, karibu sana
Nipe contact zake100mls inaenda zaidi ya 68,000 the best of the best from Zoetis
Brother naomba ni pm number zako kuna mambo mtu inabid akuconsult moja kwa mojaNapatikana madale, karibu sana
Dawa gani bora kwa ng'ombe jike mkubwa mwenye Ndigana?
Ng'ombe wangu anatetemeka kama ambae pumzi inabana na tumbo lake na anahema sana, pia anatoa ute hasa nyakati za mchana...na manyoya yake yamesimama.Ndigana ipi mkuu ?kuna ndigana baridi (anaplasmosis ),ndigana kali (ECF) Ndigana maji (heart water)
Breed gani ya kuku wa mayai inafaa sehemu za baridi pia mayai yake yana ubora na makubwa,mfano kuna wauzaji kama interchik,silverland.....ambapo breed ni kama hyline,issa brown,bovan n.k..Kiongozi umefunga Pm ninashida na wewe sana