The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Tatizo co kuanzia benchi, bali tatizo ni nani anayemweka benchi, hapo ndiyo tunaposhangaa.Me niliangalia kipindi cha kwanza tu, nilipoMimi niliangalia kipindi cha kwanza tu, nikakimbia.
Nilivyo gundua Cavani yuko nje, nikajua hatushindi leo.
Nashukuru tumeshinda, heshima imerudi.
Cavani sio mchezaji wa kuanzia benchi
