Recent content by yeto

  1. Y

    Wenye uzoefu namna kupunguza salio(float) kwenye machine za Selcom na bank ili kupata cash wanisaidie

    Niliuliza makao makuu Selcom wakasema hawana wakala mkuu na benk zinazotumika ni kwa ajili ya kudeposit tu sio kutoa , Hivyo ukiwa na float nyingi inabid utafute wakala mwingine umpunuguzie ambayo ni ngumu
  2. Y

    Wenye uzoefu namna kupunguza salio(float) kwenye machine za Selcom na bank ili kupata cash wanisaidie

    nadeposit benki mkuu hii unafanyaje? Na ikitokea unataka kupunguza float unafanyaje
  3. Y

    Mna deal vipi na machinga wanaoziba duka

    pole sana mkuu hiki ni kisiki kizito na sio rahis kupata suluhisho haraka wakati kodi inaenda Kuna namna kadhaa chagua itakayokufaa 1. kutengeneza hali ya kutegemeana kwa maana uwe unauza jumla wao wananunua kwako kwa kuwa wewe unafrem utakuwa nau mtaji na utaalam hivyo tafuta machimbo ya...
  4. Y

    Wenye uzoefu namna kupunguza salio(float) kwenye machine za Selcom na bank ili kupata cash wanisaidie

    Wakuu Naomba mwenye uzoefu naomba anisaidie Nimefungua ofisi ya biashara ya miamala ila napata changomoto watu wakitoa pesa kwa wingi float inajaa, Changamoto inakuja namna ya kupunguza salio la kwenye machine ili kupata cash hasa kwa selcom ambapo tumejiunga na benki kadhaa. Tumefuatilia...
  5. Y

    Tukiomboleza kifo cha Sultan Qaboos Al Said tusimsahau Jamshid Al Said anayeishi Uingereza aliyepinduliwa12.1. 1964

    Habari wakuu Wananchi wa Tanzania wameguswana sana na kifo cha Sultan Qaboos bin Al Said,Pia viongozi wametoa pole katika mitandao ya kijamii na wakati akiumwa wananchi wengi walimuombea apone . Hata leo wengi bado wameweka status zakumkumbuka Ukizingatia uhusiano mzuri na historia pana...
  6. Y

    Rais Museveni hapendi Tanzania ifungwe bora watoe draw

    "I'm happy with a draw because I'm both a Ugandan and a Tanzanian, all my countries won." Rais Museveni alisema katika mechi iliyopita bora draw kwani yeye ni raia wa nchi zote. Tunashukuru leo kutusupport tumeweza kwenda AFCON
  7. Y

    Hongera Waziri Mkuu kupiga marufuku viroba vijana wanaafya sasa bado kubeti

    Hongera waziri mkuu kwa hatua uliyochukua ya kupiga marufuku viroba. Vijana mtaani sasa wananawiri wananenepa wakati zamani muda wote walikuwa wembamba na wananuka pombe wakiongea ni matusi tu. Sasa tunaomba uchukue hatua suala kubeti kwani nalo linaathiri sana vijana pesa chache wanazozalisha...
  8. Y

    Nani alaumiwe juu ya Makonda; SITTA kwa kumlea,JK kwa kumpa cheo na JPM kumdumisha?

    Wakati suala la mheshimiwa Makonda likishika kasi kwenye vyombo vya habari inabidi tujiulize nani alishindwa kuona udhaifu wake aliyemlea au aliyemleta kwenye siasa au aliyemdumisha kwenye siasa. Mheshimiwa Sitta aliona kipaji gani kwake mpaka wanasema alimpenda sana na akamuingiza kwenye...
  9. Y

    Upigaji marufuku mifuko ya palstiki uliishia wapi?

    Kulikuwa na habari kuwa january 2017 itakuwa mwisho wa utumiaji wa mifuko ya plastiki ila mpaka hii machi kimya. Ingawa mifuko ya plastiki tunaihitaji sana ila bado jitahada za kupunguza matumizi yake lazima ziwepo Kwa maoni yangu naona pawepo na jitihada za kupunguza utumiaji wa plastiki kwa...
  10. Y

    Kama watoto(under 18) hawatakiwi kutumia kwanini watangaziwe Pombe kamari nk

    Habari wakuu Kuna matangazo mengi ya vitu ambavyo mtoto chini ya miaka 18 haruhusiwi kutumia lakini tangazo linakuwa kuubwa mwishoni ndio unakuta hilo onyo Kwa mzazi yoyote atakubali kuwa haya matangazo jamii ya kwanza kuathirika ni watoto kwa kuwa wao ndio wanatumia muda mwingi kwenye TV na...
  11. Y

    Tanzanian Man sues best friend who failed to impregnate his wife after 75 attempts

    hii habari ya zamani sana ya kuzushwa na inasemekana ilitokea Germany ila naona watu wameamua kuichachakachua kufanya niwa TZ (tuangalie ukweli wa story kabla hatujasambaza ) Why Would A Certain Hoax Story Be Reported For So Long? - Less Wrong
  12. Y

    Picha: Utata wa sura ya Mtoto wa Diamond

    Mtoto kufanan na female ex-partner ni suala lililofamhamika toka enzi za kina Aristotle. Theory hiyo inaitwa Telegony na ndio maana wafalme wengi walishauriwa wasiowe watalaka/wajane. Ingawa baada ya sayansi ya genetics kugunduliwa hiyo fikra ili pungua nguvu.Mwaka 2014 wanasayansi wa...
  13. Y

    Mauaji Kibiti Rufiji Mkuranga Busara itumike kutatua tatizo bila kuzidisha chuki

    Habari waungwana Tushauriane busara gani itumike kukomesha mauaji ya watumishi wa serikali maeneo haya? Kuna haja busara itumike kutafuta mzizi wa tatizo hili na suluhisho la kudumu kwani katika kanda hiyo kumekuwa na matukio ya vurugu kwa miaka karibia mitano iliyopita na mara nyingi...
  14. Y

    Kifo cha Saitoti -Tujikumbushe paruwanja la mihadarati Kenya -Tanzania tujifunze nini?

    Tuangalie video hizi kujua viti ya madawa ya kulevya ni ngumu ikihushwa na kifo cha Saitoti na wengine wengi Angalia vidoe ujifunze mengi
Back
Top Bottom