Habari waungwana
Tushauriane busara gani itumike kukomesha mauaji ya watumishi wa serikali maeneo haya?
Kuna haja busara itumike kutafuta mzizi wa tatizo hili na suluhisho la kudumu kwani katika kanda hiyo kumekuwa na matukio ya vurugu kwa miaka karibia mitano iliyopita na mara nyingi walengwa wamekuwa watumishi wa serikali .
Kwasasa imekuwa ujambazi ikilenga watumishi hao hao wa serikali
Juhudi za polisi mara nyingi zinatuliza kwa muda tu halafu inatokea tena
Ingawa waziri ametaja maeneo hayo tu mi naona hali hiyo inafanana maeneo mengi ya ukanda huo ambapo kulikuwa na vurugu na watumishi wa serikali walishambuliwa.
Baadhi ya matukio yanayotokea kanda hiyo
Kibiti: Polisi watumia helikopta kuzima vurugu!
Vurugu Mtwara: Wabunge waangua vilio;
VURUGU TANDAHIMBA
Alichokiongea waziri
Unatakiwa ufanyike uchunguzi wa kitaalam kwa nini wananchi wa kawaida wanachukia viongozi ambao wengine wanawachagua wenyewe kama wenyekiti wa vijiji ambao pia inasemekana wanauwawa.
Pamekuwa na sababu nyingi kama Gesi ,kutolipwa korosho na kutouza mkaa nk
Nini kifanyike ili wananchi wawe na Imani na watumishi wa serikali na Jeshi la polisi kwa jumla. Kituo cha polisi kuvamiwa na polisi kuuliwa bila msaada kutoka kwa wananchi si ishara nzuri. Je kuna umhimu wa kutumia polisi jamii sehem kama hizi
Matukio ya zamani yalikuwa ni vurugu za watu wote kwa sasa zimekuwa za baadhi au kikundi cha watu ambapo inatia hofu zaidi .
Je hawa wahalifu ni wa kina nani na wanamalengo gani. Tusipotumia busara hili kundi litaongeza wafuasi ambao ni hatari kwa taifa letu
Tujikumbushe matukio mengine ya huko
Kituo cha Polisi Ukonga Stakishari chavamiwa na Majambazi
Tetesi: - Mauaji: Mwenyekiti wa kijiji Kimanzichana-Mkuranga auwawa kwa kupigwa risasi.
Tushauriane busara gani itumike kukomesha mauaji ya watumishi wa serikali maeneo haya?
Kuna haja busara itumike kutafuta mzizi wa tatizo hili na suluhisho la kudumu kwani katika kanda hiyo kumekuwa na matukio ya vurugu kwa miaka karibia mitano iliyopita na mara nyingi walengwa wamekuwa watumishi wa serikali .
Kwasasa imekuwa ujambazi ikilenga watumishi hao hao wa serikali
Juhudi za polisi mara nyingi zinatuliza kwa muda tu halafu inatokea tena
Ingawa waziri ametaja maeneo hayo tu mi naona hali hiyo inafanana maeneo mengi ya ukanda huo ambapo kulikuwa na vurugu na watumishi wa serikali walishambuliwa.
Baadhi ya matukio yanayotokea kanda hiyo
Kibiti: Polisi watumia helikopta kuzima vurugu!
Vurugu Mtwara: Wabunge waangua vilio;
VURUGU TANDAHIMBA
Alichokiongea waziri
Unatakiwa ufanyike uchunguzi wa kitaalam kwa nini wananchi wa kawaida wanachukia viongozi ambao wengine wanawachagua wenyewe kama wenyekiti wa vijiji ambao pia inasemekana wanauwawa.
Pamekuwa na sababu nyingi kama Gesi ,kutolipwa korosho na kutouza mkaa nk
Nini kifanyike ili wananchi wawe na Imani na watumishi wa serikali na Jeshi la polisi kwa jumla. Kituo cha polisi kuvamiwa na polisi kuuliwa bila msaada kutoka kwa wananchi si ishara nzuri. Je kuna umhimu wa kutumia polisi jamii sehem kama hizi
Matukio ya zamani yalikuwa ni vurugu za watu wote kwa sasa zimekuwa za baadhi au kikundi cha watu ambapo inatia hofu zaidi .
Je hawa wahalifu ni wa kina nani na wanamalengo gani. Tusipotumia busara hili kundi litaongeza wafuasi ambao ni hatari kwa taifa letu
Tujikumbushe matukio mengine ya huko
Kituo cha Polisi Ukonga Stakishari chavamiwa na Majambazi
Tetesi: - Mauaji: Mwenyekiti wa kijiji Kimanzichana-Mkuranga auwawa kwa kupigwa risasi.