matibabu kwa wazee ni bure hakuna gharama kubwa..inawezekana umri umeenda lkn anaweza akawa na hekima na ushauri tutakaohitaji hivyo kuishi ni haki yake..mbona mzee mwinyi ana miaka 90+ na bado tunamwitaji mkuu??
OKOKA NDUGU YANGU UMFUATE YESU...Naamini hata huo utajiri unaotaka kutupa wewe hauna. Fanya kazi mshirikishe Mungu yeye atakusaidia hata hivyo itatusaidia nini tupate kilaa kituu humu ulimwenguni alafu baada ya hapo kwenda Jehanum? Mungu atusaidie watu wake tuondokane na hizi tamaa
pole sana bro, ikiwa wewe hujawahi na hauchepuki basi mrudishe kwao, ikiwa unampenda na kuthamini watoto wako na kama anakuheshimu na kukujali nakusiii msamehe màana huyo hatachepuka tena..kumbuka hautapata perfect ktk ulimwengu huu sisi wote ni wakosaji
ndugu yangu pole sana, lakni pia jambo lako sio kubwa wala zito kama unavyoona na kidhani, jibu lake ni kumwamini Mungu wa Yesu Kristo na kumkiri kwa kinywa chako, tafuta kanisa ambalo lipo jirani yako ukaombe uombewe utapata uzima na utaendelea na ndoa yako bila shida....kwa kuanzia hata sasa...
mdogo wangu nakushauri uachane na hayo mawazo..sio wewe unayewaza ila ni ibilisi anayaleta ili kuaribu ndoa yako na kuondoa amani hapo home kwako...ipo siku kila kitu kitakuwa wazi ukifanya huo mchezo na kama hujui hao wasichana wanashika mimba haraka kuliko mwanadamu yeyote chini ya mbingu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.