Recent content by wsaria

  1. W

    Nahitaji iphone 7/ 7plus niko dar es salaam

    unapata kwa 790 dollars..ukihitaji ni PM ni OG witj Warranty
  2. W

    Jirani yetu anaumwa sana lakini hawa ndugu zake hawampeleki hospatal

    matibabu kwa wazee ni bure hakuna gharama kubwa..inawezekana umri umeenda lkn anaweza akawa na hekima na ushauri tutakaohitaji hivyo kuishi ni haki yake..mbona mzee mwinyi ana miaka 90+ na bado tunamwitaji mkuu??
  3. W

    Hofu yatanda: Bosi wa EWURA kumfuata Mramba?

    haya kazi hizo
  4. W

    Dr. Usinga Tiba Asilia

    OKOKA NDUGU YANGU UMFUATE YESU...Naamini hata huo utajiri unaotaka kutupa wewe hauna. Fanya kazi mshirikishe Mungu yeye atakusaidia hata hivyo itatusaidia nini tupate kilaa kituu humu ulimwenguni alafu baada ya hapo kwenda Jehanum? Mungu atusaidie watu wake tuondokane na hizi tamaa
  5. W

    Yamenikuta; Sijui nifanye nini?

    pole sana bro, ikiwa wewe hujawahi na hauchepuki basi mrudishe kwao, ikiwa unampenda na kuthamini watoto wako na kama anakuheshimu na kukujali nakusiii msamehe màana huyo hatachepuka tena..kumbuka hautapata perfect ktk ulimwengu huu sisi wote ni wakosaji
  6. W

    Naombeni msaada...True story

    ndugu yangu pole sana, lakni pia jambo lako sio kubwa wala zito kama unavyoona na kidhani, jibu lake ni kumwamini Mungu wa Yesu Kristo na kumkiri kwa kinywa chako, tafuta kanisa ambalo lipo jirani yako ukaombe uombewe utapata uzima na utaendelea na ndoa yako bila shida....kwa kuanzia hata sasa...
  7. W

    Dr Magufuli, mteue W.Malecela DC Kinondoni

    ni heri husingesema haya..kwa ninavyojua ndio umemuaribia hata kama jina lake lilikowepo kwenye orodha..
  8. W

    Simu anayotumia bilionea Aliko Dangote

    Falcon SuperNova Pink Diamond iPhone 6 ($95.5 Million)
  9. W

    Ni lini serikali itapiga marufuku makanisa ya kilokole kwenye makazi ya watu.

    nakuombea kwa Mungu uokoke ili uone umuhimu wa hayo makanisa lkn pia kama haujapata neema ya kuokoka utakumbuka ukiwa jehenam ikiwa too late
  10. W

    Nafikiria kutembea na house girl

    mdogo wangu nakushauri uachane na hayo mawazo..sio wewe unayewaza ila ni ibilisi anayaleta ili kuaribu ndoa yako na kuondoa amani hapo home kwako...ipo siku kila kitu kitakuwa wazi ukifanya huo mchezo na kama hujui hao wasichana wanashika mimba haraka kuliko mwanadamu yeyote chini ya mbingu.
  11. W

    Prado 2013 inauzwa

    kaka.habati...nataka noah
  12. W

    Gari Toyota Noah inauzwa, milango ya mazungumzo ipo wazi

    habari za leo mkuu?? gari bado ipo??
  13. W

    Mafunzo kwa njia ya vitendo

  14. W

    Brand new Iphone 7 plus 32gb

    kwa sasa dukani ni US dollar 950 mpk 1000
Back
Top Bottom