Simu anayotumia bilionea Aliko Dangote

Akiwa sehemu kama kuna jambo la hatari linataka kutokea inapiga alam
 
Hiyo ndi simu ya Dangote, inaitwa Nokia Vertu Signature. Bei yake ni $5000-$7500. Convert kwa pesa ya madafu, km 16.5M/= hivi.......Alhaji sio mtu wa kisport sport



53fc17aaa5118967dfa728344c4a17ce.jpg
Naona unatufunga kamba.simu gani hyo ya mil 16?.hata iPhone hazitambi hapo.
 
Falcon SuperNova Pink Diamond iPhone 6 ($95.5 Million)
 

Attachments

  • 1481938832655.jpg
    1481938832655.jpg
    16.7 KB · Views: 94
1481939574714.png
Vertu ndiyo simu ghali zaidi hivyo wacha atumie maana kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
 
Ninavyosoma comment za watu humu nagundua yafuatayo.....

~ Umasikini ni kitu kibaya sana

~ Mtu masikini ni rahisi kuwa mchawi

~ Masikini wana chuki kali sana na matajiri kwa kuwa nafsi zao zimeshakata tamaa ya kuwafikia.....hivyo wanasuuzika roho zao kwa chuki

~ Umasikini unapofusha macho na kupunguza kiwango cha kufikiri

~ Umasikini unakunyima uhuru wa kuishi.....

~ Umasikini ni kilema......

NB: Kumchukia au kumponda tajiri au mtu aliyefanikiwa hakukupunguzii umaskini wako au kumpunguzia tajiri utajiri bali.....bali unajipinguzia muda wa kufanya kazi kwa bidii na pengine kupunguza kiwango chako cha ufukara......

Kwa mtu timamu na ukijivua joho la chuki na husda....mtu kama Dangote kununua simu ya mil 16 ni sawa na wewe kununua simu ya 300,000/= kwenye mshahara wako wa mil 1.5 kwa mwezi.....



PAMBANA NA UMASIKINI KWA NGUVU ZAKO ZOTE NA KWA AKILI YAKO YOTE KWA KIPINDI AMBACHO UPO NA PUMZI YAKO.....Na MUNGU ATAKUJAALIA.....

Chuki huchafua moyo.....
 
Ninavyosoma comment za watu humu nagundua yafuatayo.....

~ Umasikini ni kitu kibaya sana

~ Mtu masikini ni rahisi kuwa mchawi

~ Masikini wana chuki kali sana na matajiri kwa kuwa nafsi zao zimeshakata tamaa ya kuwafikia.....hivyo wanasuuzika roho zao kwa chuki

~ Umasikini unapofusha macho na kupunguza kiwango cha kufikiri

~ Umasikini unakunyima uhuru wa kuishi.....

~ Umasikini ni kilema......

NB: Kumchukia au kumponda tajiri au mtu aliyefanikiwa hakukupunguzii umaskini wako au kumpunguzia tajiri utajiri bali.....bali unajipinguzia muda wa kufanya kazi kwa bidii na pengine kupunguza kiwango chako cha ufukara......

Kwa mtu timamu na ukijivua joho la chuki na husda....mtu kama Dangote kununua simu ya mil 16 ni sawa na wewe kununua simu ya 300,000/= kwenye mshahara wako wa mil 1.5 kwa mwezi.....



PAMBANA NA UMASIKINI KWA NGUVU ZAKO ZOTE NA KWA AKILI YAKO YOTE KWA KIPINDI AMBACHO UPO NA PUMZI YAKO.....Na MUNGU ATAKUJAALIA.....

Chuki huchafua moyo.....
....300,000/1,500,000= 1/5
..16m *5=80m
....kwamba ulitaka kusema..??
 
Back
Top Bottom