Walioanzisha na wanaochochea n wanaharakat wa upinzan pamoja na wanasiasa wa upinzan
Sasa Kwa mtindo huu mnatupa khofu
Mkipewa nchi mtakuwa watu wa visas vingi sana pengine mtazid uovu,rushwa ufisad kuliko hata hawa ccm tunaowachukia sasa hv
Coz
Anayelipiza Huzidisha
Kwa uzushi mliokuwa mnatunga kuleta taharuki ilifikia hatua tunahtaj kiongoz mkuu atoe kaul aidha ya kutuzdshia hofu au kutuondolea hofu
Kwa hatua za wabunge wa CHADEMA kutoka bungen, na kufukuza wale waliosimama kidete kubak bungen bila shaka unaona tulhitaj kaul ya kiongoz mkuu aseme jambo la...
Tusichafuane
Bernard Membe n "ndugu wa iman" wa hao jamaa???
lissu n "ndugu wa iman" wa hao jamaa????
Mi naona tz kila ktu kmefanywa siasa ndo ktu kitaiponza hii kantreee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.