Kamatwa kule marekani ndipo utajua maana ya Uncle SamHuu ndo ujinga ambao unapigwa Vita .
Miaka zaidi ya 58 ya Uhuru bado Askari wetu wanatumia njia za 'kijima' kudhalilisha utu wa mwanadamu, eti tu kukaguliwa madini yasiibiwe.
Hivi body scanner security hazipo au hazifanyi kazi?