greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,319
- 3,930
Hajasema kwa uwezo wake binafsi ila si kwa uwezo wa clouds media ni kweli clouds waliacha ku support kazi za mondi muda mrefu sana ,kama ni msanii mwenye roho nyepesi unakata tamaa kutokana na kujua position ya cmg ilivyokuwa aswa kwenye ushawishi na ukizingatia they are not on your side.... Vaa hicho kiatu uone kilivyo kikubwa.pamoja na kwamba siungi mkono mawazo ya kichawi dhidi ya diamond,lakini pia ni ujinga kuamini mond amefika pale alipo kwa uwezo wake peke yake.
hii pekee ni kuungana na hao wanaopiga mawe kwamba asiwategemee.
mimi ninachoshauri,aendelee kujipigia promo,na hata akishinda akauke.jibu kwa mchawi ni mafanikio yako sio maneno yako.