Mwakymbe hajasoma, tangu siku alipoyakana yaliyomo kwenye tafiti iliompa PhD, kielimu alijifuta.Mwakyembe hajasoma?
Tunataka anayeuzikaNa yule Jamaa anayetokea Chemba aliyekuwa anang'ang'aniza Bw Mkubwa aongezewe muda mbona naye yamemkuta, ina maana nae alimuudhi Bw Mkubwa?.
Malizia ...... wasomi wasiojiamini, ukiona Profesa anasema ameokotwa jalalani ujue huyo hajiamini na yuko tayari hata kudhalikishwa ili mradi tu ateuliwe.Magufuli anataka wasomi tu, nothing else.
Sio tetesi tu bal n umbea wa wazee wa kijiwe cha kahawa barabara ya ishirin na moja paleNdio maana nikaanza na TETESI
Uvccm ni genge la kigaidiBavicha- balaza la wapiga ramli
mizuka hupanda hadi wanajisahauMalizia ...... wasomi wasiojiamini, ukiona Profesa anasema ameokotwa jalalani ujue huyo hajiamini na yuko tayari hata kudhalikishwa ili mradi tu ateuliwe.
Ngoja ni copy na kupaste pembeni kabla hawajaufuta huu uzi kwani siku hizi ukiisema vibaya CCM/Serikali jamaa wanafuta uzi wako fasta
Magufuli anataka wasomi tu, nothing else.
Halafu jamaa anasifiwa kwa kumtanguliza Mungu mbele na kutokuwa na kisasai. Leo hapa tunakumbushwa sababu za zamani zilizogafanywa na waliokatwa.
Unafiki!!
wewe kesho Mungu anakupandisha jehanamuAkale Alikopeleka Mboga.
Kuna uzi wa Kigogo alivyoamsha dude Twitter leo umefutwa kufumba na kufumbua.Ndiyo sababu naipenda sana Twitter kule hakifutwi kitu. Uhuru wa kuandika kule ni 110% raha sana.
Alikotoa mboga waendelee kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani?Akale Alikopeleka Mboga.
Mbona Magufuli ni mtu wa haki sana ,Kama mtakumbuka, kipindi hiki cha miaka mitano ya utumwa ya bwana yule kulitokea upuuzi wa Polisi kukamatakamata watu hasa upinzani kipuuzipuuzi.
Kuna siku Balozi Adadi alisimama bungeni na kueleza kuwa kilichokua kinafanyika ni uhuni na kwamba kuna taratibu zake za kumkamata mtuhumiwa na kwamba Polisi wanazijua vyema.
Alienda mbali na kusema kuwa, huwezi kumkamata mtu kienyeji tu kwa shinikizo la wana siasa!! Kauli ile najua haikumpendeza bwana yule Na kwakuwa jamaa ni MTU wa visasi basi huu ndo ulikua muda muafaka wa kulipiza kisasi.
Mungu ibariki Tanzania
Hahahahaha kama Kibajaji na Msukuma, umetisha sana ndugu Mjumbe..Magufuli anataka wasomi tu, nothing else.
Kama akiamua kwenda upinzani atashinda mchana kweupe.Shida ni kuwa anaweza kwenda upinzan afu akajiuzulu.Yakaanza kutokea yale ya kina luwasa na SimayeIla tuwe tu wakweli, hivi Adadi Rajabu ni wa kushindwa na MwanaFA? Hebu afanye maamuzi magumu tuone nini kitafuata!