Recent content by Violet

  1. Violet

    Msiba

    Poleni sana jamani
  2. Violet

    Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

    matajiri wanata KUSAIDIA watu toka nchi masikini - dola mia tatu tuu!
  3. Violet

    Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

    Mmmmh!
  4. Violet

    sumu ya ndoa ni ...

    Sumu ya ndoa ni kunyimwa unyumba,( mambo ya unyumba yakiwa yanakwenda vizuri, kila kitu kinafunikwa, hata kama ana wivu kupindukia, mchafu, mvivu, unakuta mwanamme anapika , huku akipiga mluzi, viwifi , kapewa madawa huyu, atapikaje na mkeo yupo nyumbani, kumbe hawajui kaka yao mambo anayopewa
  5. Violet

    Anti-gay law tabled in Uganda

    Mhh mbona sio vizuri, maana sio gay wote ni wakujitakia, kuna wengine wamezaliwa nje mwanamme ndani wana mfuko wa uzazi kama wanawake, au wengine wanawake lkn, mwili una produce hormone za kiume , hivyo inawezekana akawa attracted kwa wanawake wenzie. Mfano yule mkimbiaji wa south afrika...
  6. Violet

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Labda ndio njia pekee ya kujikinga na ukimwi, maana kama condom zenyewe ndio hivyo. Aendelee tuu
  7. Violet

    What's Your Favorite Breakup Song?

    Love takes time - mariah carey
  8. Violet

    Wema sepetu aharibika

    Mhh athari za vipodozi miguuni na sio usoni? mbona kama athari za madawa ya kulevya?
  9. Violet

    'Gongagonga' afumwa akimlawiti mme wa mtu

    ohh hawezi kutumia hizo dawa kunyanyua uchumi au kuthibiti ukimwi!
  10. Violet

    'Gongagonga' afumwa akimlawiti mme wa mtu

    This is 2009 bado tunaamini tuu mambo ya kishirikina jamani , TUTAFIKA KWELI, imerudi mambo ya kinjeketile na vita ya majimaji.
  11. Violet

    Dawa mpya ya kuongeza nguvu za kiume

    Kwa majaribio watazituma hizo dawa dunia ya tatu . Tuwe macho
  12. Violet

    Which is better: Single or Unhappily Married?

    Kwa wanaumme wa sikuhizi , mhhh afadhali nibaki single. Maana vimada, mara vi msg kwenye simu, mara kalala nje lol! Kuna wachache sana wamepata bahati ya wanaumme wanaujiheshimu lkn wengi ni michezo tuu . Hakuna mwanamme hatoki nje ya ndoa
  13. Violet

    Naombeni CV ya Kapteni Komba, wa TOT

    Diploma ya miaka miwili? Ujerumani , na alisoma kwa lugha gani?. Lugha tuu inachukuwa zaidi ya miezi sita
  14. Violet

    Passport thefts at Dar airport.

    Wanaijeria mbona wanafanya hiyo miaka mingi tuu. Ndio mana nchi nyingine kama USA wanachukua alama za vidole, kila ukiingia tena wanakwambia weka kidole chako. Hamna hata haja ya kubadili picha, hawa weupe wahatutofautishi sana. Wengi tuu wanatuma passport zao kwa ndugu zao , na wanazitumia...
Back
Top Bottom