habari za hapa wanaukumbi , nimepata kijiproject kidogo cha kufanya utafiti wa sumu ya ndoa na nikaona nije hapa jamvini kupata vijisentensi kadhaa.
ningeomba kila post iwe na ujumbe ndani ya sentensi isiozidi mstari mmoja na kianzio kiwe, sumu ya ndoa ni ............
nikifanikiwa kupata mistari 100(i.e equvalent to 100 posts) nitakuwa nimemaliza project na kama ikizidi itakuwa ni vyema zaidi.
naomba tuwe serious na nitaonesha mfano katika post inayofuata ya muundo wa sentensi inavyohitajika kuwa.
kamilisha project hii ili iwe ni elimu kwa jamii inayopoteza mwelekeo katika maadili ya kindoa.
natanguliza shukran zangu kabisa.
ni mimi Mr. quiet
Sumu ya ndoa? Ahaaa! Kutofikishana kileleni.
mimi mwanamke akinilalamikia hili nahama dar.
Hahaha! Mpwa taratibu, unaanza kutoka nje ya mada. Shauri yako. Na asipokufikisha wewe kileleni?
Sumu ya ndoa ni kutomtrust mwenzio
sasa kama nikiprove kuwa sio mwaminifu?
hilo rahisi sana,
namtafutia NYUMBA NDOGO!naenda tanga tu hapo.maji ya kuoga yanawekwa hiliki.
mtoto KIWANDA ANAKIWEKA KWENYE KISOSA anaaza kukipiga mswaki kwa colgate ya mlimani city,
hahahahahaha!ai hope nippo inside the perimeter.ai mini nipo ndani ya mada,au sio shem?