sumu ya ndoa ni ...

sumu ya ndoa..poor communication, kutokuvumilia upungufu wa mwanandoa, kutoheshimu (ndugu na wazazi wa mwanandoa), kutokutoa fursa au nafasi ya mwanandoa kufanya mambo yake binafsi (kubabana), kufulia, kutokufanya private outing.
 
Sumu ya ndoa ni kwa wanandoa kutotimiziana mahitaji ya kimwili. " yaani kutoridhishana kimapenzi"
 
Sumu ya ndoa ni kunyimwa unyumba,( mambo ya unyumba yakiwa yanakwenda vizuri, kila kitu kinafunikwa, hata kama ana wivu kupindukia, mchafu, mvivu, unakuta mwanamme anapika , huku akipiga mluzi, viwifi , kapewa madawa huyu, atapikaje na mkeo yupo nyumbani, kumbe hawajui kaka yao mambo anayopewa
 
habari za hapa wanaukumbi , nimepata kijiproject kidogo cha kufanya utafiti wa sumu ya ndoa na nikaona nije hapa jamvini kupata vijisentensi kadhaa.

ningeomba kila post iwe na ujumbe ndani ya sentensi isiozidi mstari mmoja na kianzio kiwe, sumu ya ndoa ni ............

nikifanikiwa kupata mistari 100(i.e equvalent to 100 posts) nitakuwa nimemaliza project na kama ikizidi itakuwa ni vyema zaidi.

naomba tuwe serious na nitaonesha mfano katika post inayofuata ya muundo wa sentensi inavyohitajika kuwa.

kamilisha project hii ili iwe ni elimu kwa jamii inayopoteza mwelekeo katika maadili ya kindoa.

natanguliza shukran zangu kabisa.

ni mimi Mr. quiet


samahani naomba project yako ikiisha unagawie ka mshiko kidogo

Am kidding ...teh teh
 
Hahaha! Mpwa taratibu, unaanza kutoka nje ya mada. Shauri yako. Na asipokufikisha wewe kileleni?

hilo rahisi sana,
namtafutia NYUMBA NDOGO!naenda tanga tu hapo.maji ya kuoga yanawekwa hiliki.

mtoto KIWANDA ANAKIWEKA KWENYE KISOSA anaaza kukipiga mswaki kwa colgate ya mlimani city,
hahahahahaha!ai hope nippo inside the perimeter.ai mini nipo ndani ya mada,au sio shem?
 
sasa kama nikiprove kuwa sio mwaminifu?

Not ........ until proven guilty. So ukishaprove then you have every right but remember akikiri na kuahidi kutorudia tena with time trust inatakiwa kurudi sio alikosa miaka sita ilopita akakiri kubadilika but wewe bado tu umelikumbatia kosa lile na references unafanya kila mnapohitilafiana!

On serious note: Hivi kama mwenzi wako alishawahi kucheat unaweza kumtrust tena kweli? .........mh nje ya mada

Sumu ya ndoa kutokubali makosa/udhaifu yako
 
hilo rahisi sana,
namtafutia NYUMBA NDOGO!naenda tanga tu hapo.maji ya kuoga yanawekwa hiliki.

mtoto KIWANDA ANAKIWEKA KWENYE KISOSA anaaza kukipiga mswaki kwa colgate ya mlimani city,
hahahahahaha!ai hope nippo inside the perimeter.ai mini nipo ndani ya mada,au sio shem?

Shem leo uko ndani ya mada kiutamu kweli. Hope sista haingii JF. Akiisoma hiyo posti yako, safari ya kwenda kwa Basil Mramba inaanza. Hahahaha!
 
Back
Top Bottom