Pole sana kwa msiba, mwenyezi mungu akupe wewe na familia yako nguvu na amani katika wakati huu mgumu wa msiba.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe - AMINA
Wapendwa Ndugu zangu. Mdogo wangu Amedeus atasafirishwa kesho jioni kuja Kilimanjaro kwa ajili ya mazishi. Tutamchukua pale Mwananyamala saa nne asubuhi na kwenda pale nyumbani Kimara Temboni. Kutakuwa na ibada pale na kuaga pale nyumbani Kimara. Baada ya hapo msafara utaanza saa nane hivi. Mazishi yatafanyika nyumbani Kibosho siku ya Jumanne.
Tuombeane uzima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.