Dawa mpya ya kuongeza nguvu za kiume

Mimi hata ingekuwa ni ya kumeza siitaji hata kwa dawa,ni bora kuwa goi goi kuliko maana utajiepusha na mengi,kuliko kuanza kupaka hayo ma cream yao.

Unaweza kupaka halafu baada ya siku mbili ngoma inaanza kuoza ndani kwa ndani...!
 
That supposed new medicine is nothing but a gimmick just like the likes of Spanish Fly and the likes. The blood streams that supply the blood to the penis are deep inside the shaft. They can't be instantly reached by just rubbing some ointment on the outer surface of the shaft and immediately start working.

The only erectile dysfunction medicines to do the trick so far are Viagra, Cialis, and Levitra which take roughly about 30 minutes to kick in.

So mark my words, this so called new drug is a gimmick and you won't hear anymore of it.

Ngozi ya uume iko highly supplied with blood vessels, hivyo ukipaka dawa yenye formulation inayotakiwa, itaenda kwenye damu itazunguka weee then itafika inakotakiwa kufanya kazi...it wont take long mzunguko kufikia kwenye penis circulation. Baada ya muda gani dawa itakuwa effective kunyanyua uume, hiyo inategemea na aina ya dawa...ikiwa fasta hewala!!!!
 
nyie wanaume mnahitaji hizo dawa za nini? Ndio mwanzo wa kupata maradhi manake ikisimama sana ni lazima utembee na mwanamke bila kinga then kinachotokea mnajua na maradhi..............
 
Duniani kuna mambo!Wanawake wanahaha kuongeza matiti na makalio,wanaume wanahaha kuongeza nguvu za kiume na kuemlarge na kustreghthen theirb penis.nashauri wanawake waanze nao kuenlarge zao ili kuendana na speed
 
Kinacosababisha oral tablets zichukue muda kufanya kazi ni ile route inayopita,its a bit long.kwanza kidisintergate,kisha kidisolvena kiwe absorbed into blood stream halafu dawa husika isafirishwe mpaka katika hiyo mishipa inayohitaji kutanuliwa ile jogoo awike.Sasa wanachofanya wanasayansi ni kutafuta a shortcut route,yaani kwa mfano dawa inawezaje kufika katika hiyo mishipa bila ya kupitia huo mlolongo mzima.


Sasa kwa hiyo dawa inayoongelewa,kwanza kama ni ya kupaka inaweza kuwa katika solution form hivyo ikifika katika mishipa husika ni kuchapa kazi tuu kwa kwenda mbele.Unachoweza kufanya ni kuiweka katika vehicle ambayo itaweza kuisafirisha through the skin hivyo kufika katika mishipa ya damu moja kwa moja,na fat soluble vehicles are very good at this,kinachotkiwa ni dawa husika kuwa fat soluble also.

Ulishawahi kujiuliza ni kwanini sublingal nifedipine inashusha preessure haraka ukilinganisha na oral nifedipine!Ni kwa sababu sublingal nifedipine inaenda moja kwa moja katika damu na kuanza kuchapa kazi.Na ukijaribu kuangalia kwa makini utagundua dawa ni zile zile kinachobadilika ni formulations za dawa husika.Leo kidonge,kesho lotion,keshokutwa solution ili mradi wapate kuipata pesa yako kwa urahisi.
Guys mind you there has never been a plant/herbal that can help instant erection.There is only one chemica available which can sustain erection and........after all
most of you are not married,and info about this can only be given to the maried couple only.How ever if you are sure that you live in a marrige lock contact me ,here.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom