Tumeoana miaka mitano iliyopita, mara baada ya kuoana mmoja kati yetu alifanya HIV test na kugundua yuko reactive, bila kumshirikisha mwenzi wake kwakuamini kuwa yeye ndiye chazo. Hivi majuzi tumeenda wote kwenye VCT centre na ikabainika kuwa mmoja kati yetu ni nonreactive na mwingine ni reactive. Cha kushangaza ni kwamba mda wote huu hatujawahi tumia kinga. Sasa ni nini kinamfanya mmoja kuwa non-reactive wakati tumeishi miaka mitano kwenye hii hali?
Naomba nieleweshwe nini kinasababisha. Wataalam nawategemea mnieleweshe.
Naomba nieleweshwe nini kinasababisha. Wataalam nawategemea mnieleweshe.