Recent content by usiende kariakoo

  1. U

    Tuacheni utani Jamani, hali ya uchumi sasa hivi ni mbaya sana

    Ukiona mtu ana coment kama wewe ujue anakula ugali wa shikamoo!! Tulio na maduka. Tunajua hali ilivyo
  2. U

    chimbo la nguo za dukani

    Njoo usiende kariakoo ni chimbo no 1 kwa sasa hapa mjini unaweza cheki page yetu uone bei
  3. U

    Kuna nini kati ya maji Uhai na Kilimanjaro?

    Rwenzor ndo yapi hayo mkuu? Yanapatikana wap?
  4. U

    Kuna nini kati ya maji Uhai na Kilimanjaro?

    Me pia huwa najiuliza sana pamoja na Kilimanjaro kuwa bei kubwa ila mikoani maji ya dar hayatoboi
  5. U

    Car4Sale Funcargo sokoni

    No d,c au b?
  6. U

    Nokia yazindua simu matata

    Unaendelea kuwa ovyo ovyo[emoji23][emoji23][emoji23]
  7. U

    Ahadi za mkuu

    Iv wapendwa kuna ahadi yoyote aliyotoa Bwana mkubwa kwenye kampen na ameitekeleza?? Af me naona kama ye anaona 2020 ni mbali wakat kesho tu
  8. U

    Hizi ndio nyimbo mbovu ila zinabebwa na media

    Aje ya alikiba pia inabebwa na media
  9. U

    Usumbufu wa Vodacom

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
  10. U

    Msaada wa kuhack simu

    Ukishahack utapata faida gan zaid ya presure?
  11. U

    Arsenal yaondolewa rasmi kwenye mbio za ubingwa EPL

    Kwani umeambiwa ilikuwa kwenye mbio? Arsenal hatujawah kuwania ubingwa ndg huwa tunawania nafasi ya nne acha kutusingizia
  12. U

    Nyimbo gani nzuri za kusikiliza ukiwa na maumivu ya kuachwa?

    Sikiliza ile ngoma ya komba Tumeipenda wenyewe ni bonge la ngoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  13. U

    Karibu dukani kwetu usiende kariakoo

    Karibu bos na wewe tukuhudumie
  14. U

    Karibu dukani kwetu usiende kariakoo

    Usiende kariakoo ni duka linalopatikana Sinza Madukani opposite na AAR HOSPITAL Tunauza nguo,viatu(vya ofisini +raba) vya kike na kiume kwa bei nafuu kuliko kariakoo Tunauza kwa jumla na rejareja! Kwanini ukahangaike kariakoo kupambana na machinga na kuibiwa sometime? Njoo Sinza uhudumiwe kwa...
Back
Top Bottom