BigBro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 3,582
- 11,592
Nimetembea mikoa mingi Tanzania, kasoro Lindi, Mtwara, Shinyanga na Kigoma, mikoa yote upatikanaji wa maji ya Kilimanjaro ni wa uhakika na sijaona maji ya Uhai. Inamaana Uhai imeshindwa kupenya soko la maji mikoani? Huwa najiuliza sana. Uhai utayakuta Moro na Tanga tu. Interest yangu ni kujua tu maana kuna biashara nataka kuanzisha inayofanana na maji.