Recent content by Unico Del Piero

  1. U

    JamiiForums Tanzania Swala la wanaume kuwapiga wanawake; nini mbadala wake?

    Kumbuka yule ni mtoto wa mtu, km umemshindwa kwnn usimwache wakati wanawake wako wengi? Tena ww unayepiga wanawake una bahati hujamwoa mwanangu au dada yangu, maana ukimpiga jioni, mm asubuhi niko kwako nakushushia kipigo cha maana hadi utakapoelewa kua unayempiga naye ana wazazi
  2. U

    JamiiForums Tanzania Swala la wanaume kuwapiga wanawake; nini mbadala wake?

    Swali ni je ww ukikosea unapigwa? Na km kosa hilo angekufanyia mtu ambaye huwezi kumpiga utafanyaje? Au unampiga kwa sababu ni mdhaifu
  3. U

    JamiiForums Tanzania Mke wangu akifika kileleni anazimia

    Hahahahaha my ribs, utakua unapiga mzigo kwelikweli
  4. U

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Mwenye LG g2 awe morogoro au Dar iwe mpya 32gb version anichek fasta
  5. U

    JamiiForums Tanzania Fedha za dhamana zitolewazo mahakamani huwa zinaenda wapi?

    Hiyo pesa ni unaweka tu dhamana ili kumzuia asitoroke, kesi ikiisha inarudishwa although sina uhakika kama ni yote
  6. U

    JamiiForums Tanzania Kama Eva asingekula tunda la mti wa kati

    Kuna dhana potofu kuwa tunda la mti wa kati ni uchi wa mwanamke, Adamu alizuiliwa kula matunda yote icpokua la mti wa kati na kama tunda la mti kati ni hilo je matunda mengine aliyoruhusiwa ni yapi? Pili, kabla Adam na Hawa hawajala tunda, Mungu alishawaambia wazae waijaze dunia ss dunia...
  7. U

    JamiiForums Tanzania Zanzibar inajitenga kupitia michezo?

    Sio kweli kwamba Zanzibar kupata uwakilishi CAF ni kujitenga kupitia michezo, nchi ya Wales ipo kwenye muungano wa Great Britain pamoja na Scotland lkn zote zina uwakilishi FIFA na bado hazijajitenga, visiwa kama Samoa ni sehemu ya Marekani lkn kimichezo vinajitegemea, so katafute hoja nyingine...
  8. U

    JamiiForums Tanzania Lissu acha kulialia Pambana na Wataalam Wenzako

    Kwan polisi ni wataalamu wenzake Lisu
  9. U

    JamiiForums Tanzania Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

    Ss km hajakamatwa Osama mwenyewe yuko wapi, marekani walitoa wapi ujasiri wa kutangaza km wacngekua wamemkamata na pia kwnn baada ya kuuawa kwake Al Qaeda imedhoofu na hatuckii tena wakifanya mashambulizi km kipindi kile?
  10. U

    JamiiForums Tanzania Harmorapa Fans' Special Thread...

    Dogo kashapata kiki mwache alitumie
  11. U

    JamiiForums Tanzania Feza boys: Form one - form four zaidi ya Tsh Million 45! Serikali idhibiti hizi ada

    Na ww hujafikiria kabisa, hili ni soko huria, anayeweza anaenda acyeweza asiende. Feza haijamlazimisha mtu kusoma pale, af nashangaa wanaosomesha watoto pale hawalalamiki, lakini ww kapuku mwenzetu unalalamika. Ss km ni hivyo mbona husemi wadhibiti bei za vyakula kwenye hoteli kubwa, bia ya 2000...
  12. U

    JamiiForums Tanzania Je wachungaji wetu hapa TZ wanaweza kumudu kuhubiri kwa kiingereza kama Wakenya?

    Wahubiri kingereza ili iweje, kwan wanaowahubiria hawajui kiswahili au, mkuu ukiwa huna mada ya kupost bora ukae kimya
  13. U

    JamiiForums Tanzania Waya: Ngoma mpya ya Joh Makini mbaya kuliko zote toka kwake

    Joh abebwe since 2005 inaingia akilini kweli, coz joh namfahamu since akiwa chuga na river camp yake kahustle mpaka anatoka, mbona kabla hajawa superstar mlikua hamsemi km anabebwa? Na je hao wanaombeba wana uhusiano gani na joh mpaka wambebe, je kwnn wasiwabebe wasanii wengine? Mwanzoni mlianza...
  14. U

    JamiiForums Tanzania Waandamanaji hulindwa na si kupigwa, je jeshi letu la Polisi lina cha kujifunza hapa?

    Wametuacha mbali sana kidemokrasia, Rais wa America miaka ya nyuma Richard Nixon km cjakosea alishawahi kutolewa madarakani baada ya kashfa ya kutumia CIA kukichunguza chama cha democratic ambao walikua wapinzani wake. Bongo hiyo haipo
Back
Top Bottom