Swala la wanaume kuwapiga wanawake; nini mbadala wake?

Swala la wanaume kuwapiga wanawake; nini mbadala wake?

Screenshot_2017-04-04-21-55-01.png
 
Wewe ukifanya madudu nani anakupiga?! That's sexual assault and its an act or omission punishable by the law, sema mmeoa vilaza. Ukiwa na strong, independent woman huwezi mletea tabia za kienyeji enyeji, unashtakiwa faster, na uki-file divorce unaambulia kurudi kwenu na mashuka tu.

Mpk unafika hatua ya kumpiga mwanamke jua kuna wajibu wako fulani hutimizi, mwanamke anaenda kutimiziwa kwa wadau wengine, ambao mara nyingi hua wanasimamia shoo kwa ustadi wa hali ya juu.
Umeongea kipuuzi kweli. Hebu irudie comment yako uisome tena. Wewe unadhani kupigwa ni kwasababu ya ngono tu? Akili yako inawaza ujinga tu. Jenga hoja.
Pia siyo kila mtu ni ignorant of law. Huyo alopigwa ndo atarudi kwao na bakuli au kikoi chake na mtandio wake
 
Umeongea kipuuzi kweli. Hebu irudie comment yako uisome tena. Wewe unadhani kupigwa ni kwasababu ya ngono tu? Akili yako inawaza ujinga tu. Jenga hoja.
Pia siyo kila mtu ni ignorant of law. Huyo alopigwa ndo atarudi kwao na bakuli au kikoi chake na mtandio wake
Povuuuuuu!!

Nani kaongea kuhusu ngono?! [emoji23]
 
Mwananmke ni kiumbe dhaifu, unapompiga na kumsababishia majeraha mwilini unakuwa hujamfanyia FAIR
Akikukosea ni afadhali umpige dushe tu, hata kama kwa siku akikukosea mara tatu[emoji34] "WE MPIGE DUSHE TU"
Uone kama hatokaa sawa [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
 
Wewe ukifanya madudu nani anakupiga?! That's sexual assault and its an act or omission punishable by the law, sema mmeoa vilaza. Ukiwa na strong, independent woman huwezi mletea tabia za kienyeji enyeji, unashtakiwa faster, na uki-file divorce unaambulia kurudi kwenu na mashuka tu.

Mpk unafika hatua ya kumpiga mwanamke jua kuna wajibu wako fulani hutimizi, mwanamke anaenda kutimiziwa kwa wadau wengine, ambao mara nyingi hua wanasimamia shoo kwa ustadi wa hali ya juu.
Umeongea vizuri ila hilo la kusimamia show nje jitafakari zaidi haiendani na maelezo yako umejishusha
 
Asee mimi nilikua mmoja wa watu ambao walikua hawaelewi kabisa nikiona au kusikia jamaa amepiga mwanamke.... Yakanikuta siku moja... nikapiga na adabu ikawepo (tuelewane hapa... I am not proud of what I did and in fact I apologised to her lakini nasema sitashangaa kuona mwanamke kapigwa... sometimes there is a strong reason behind hicho kipigo)
Samahini kwa mchanganyo wa lugha.
 
Wewe ukifanya madudu nani anakupiga?! That's sexual assault and its an act or omission punishable by the law, sema mmeoa vilaza. Ukiwa na strong, independent woman huwezi mletea tabia za kienyeji enyeji, unashtakiwa faster, na uki-file divorce unaambulia kurudi kwenu na mashuka tu.

Mpk unafika hatua ya kumpiga mwanamke jua kuna wajibu wako fulani hutimizi, mwanamke anaenda kutimiziwa kwa wadau wengine, ambao mara nyingi hua wanasimamia shoo kwa ustadi wa hali ya juu.
We akili yako ya kushikiwa na wanawake
 
Kumuongoza mwanamke inatakiwa uchanganye dictatorship na democracy.

Usipo changanya dictatorship mke wako atakuangusha katika mengi tu.

NB: Usimuonee mkeo, mpende ila fanya yote usimuonee mkeo inauma sana kumuonea mtu.
 
Kupiga mwanamke ni kosa na ni ujinga, dhana ya kupiga ni kumpa mtu maumivu ili aogope maumivu na asifanye makosa, hiki kitendo hakipaswi kufanya kwa mtu mzima. Kama hafai, mwache!
Umeoa? Au una mke?
Isijekua huna ndoa na hujui maudhi ya ndoa ndo maana unasema kirahisi muache aende
 
Umeoa? Au una mke?
Isijekua huna ndoa na hujui maudhi ya ndoa ndo maana unasema kirahisi muache aende

Nina mke na watoto wawili .... nipo kwenye ndoa for 7 years, mke wangu ananiheshimu vizuri, sijawahi hata kumpiga kofi mara moja. Kama kwa kauli wananisikiliza nampigia nini? MTU MZIMA apigwi. naweza chimba mkwara nyumba ikanyamaza week nzima, kupiga ni UJINGA TENA SANA! ikitokea imefikia level siwezi kaa bila kumpiga ndoa itakuwa chali ... imefikia mwisho.
 
Back
Top Bottom