Lissu acha kulialia Pambana na Wataalam Wenzako

Juma wa Juma

Senior Member
Jan 13, 2017
150
220
Lissu acha kulialia Pambana na Wataalam Wenzako kama unafanyiwa hujuma na wewe fanya hujuma sio unatuma sms kwenye mitandao kutafuta Public Symphathy.

Lissu anajua na dunia inajua katika kila chaguzi FIGISU FIGISU hazikosi. Namkumbusha tu kidogo Tundu Lissu wakati wa Usaliti wa Yuda Kabwe alitoka na kauli nyingi ambazo ni za hujuma na kipindi kile CHADEMA waliokuwa wanaelekea kwenye uchaguzi wa Ndani wa chama chao.

Halafu mwaka 2015 Lissu alishiriki kumhujumu Slaa baada ya LOWASSA kuhamia CDM na kuwa Mgombea Urais, Tundu Lissu huyu huyu alishiriki kumhujumu Rais wa Mioyoni mwa Wadanganyika.........In short TL atulie na yeye ana nafasi ya kuwafanyia hujuma wagombea wenzake sababu ndio nature ya chaguzi inayofanywa ili kupunguza mchuano.

Let the game begin
 
Lissu acha kulialia Pambana na Wataalam Wenzako kama unafanyiwa hujuma na wewe fanya hujuma sio unatuma sms kwenye mitandao kutafuta Public Symphathy. Lissu anajua na dunia inajua katika kila chaguzi FIGISU FIGISU hazikosi. Namkumbusha tu kidogo Tundu Lissu wakati wa Usaliti wa Yuda Kabwe alitoka na kauli nyingi ambazo ni za hujuma na kipindi kile CHADEMA waliokuwa wanaelekea kwenye uchaguzi wa Ndani wa chama chao. Halafu mwaka 2015 Lissu alishiriki kumhujumu Slaa baada ya LOWASSA kuhamia CDM na kuwa Mgombea Urais, Tundu Lissu huyu huyu alishiriki kumhujumu Rais wa Mioyoni mwa Wadanganyika.........In short TL atulie na yeye ana nafasi ya kuwafanyia hujuma wagombea wenzake sababu ndio nature ya chaguzi inayofanywa ili kupunguza mchuano. Let the game begin
Kweli wewe ni Juma pumba wenzie wanapambana kwa kutumia dola unataka Tundu Lissu aingie mstuni ndo ulichokimaanisha upeo wako na akili katika kisoda umefika kikomo??
 
Hakika umenena.
Kuna usemi mmoja unasema hivi.
Muosha huoshwa.
Alitaka apite kiulaini,haiwezekani.

Pia mwizi akiibiwa utamjua tu kwa uchungu wa kulalama
 
Ndio kawaida yake akiwa kwenye mapambano lazima alielie
Lisu analia.jpg
Lisu analia.jpg
 
Lissu acha kulialia Pambana na Wataalam Wenzako kama unafanyiwa hujuma na wewe fanya hujuma sio unatuma sms kwenye mitandao kutafuta Public Symphathy.

Lissu anajua na dunia inajua katika kila chaguzi FIGISU FIGISU hazikosi. Namkumbusha tu kidogo Tundu Lissu wakati wa Usaliti wa Yuda Kabwe alitoka na kauli nyingi ambazo ni za hujuma na kipindi kile CHADEMA waliokuwa wanaelekea kwenye uchaguzi wa Ndani wa chama chao.

Halafu mwaka 2015 Lissu alishiriki kumhujumu Slaa baada ya LOWASSA kuhamia CDM na kuwa Mgombea Urais, Tundu Lissu huyu huyu alishiriki kumhujumu Rais wa Mioyoni mwa Wadanganyika.........In short TL atulie na yeye ana nafasi ya kuwafanyia hujuma wagombea wenzake sababu ndio nature ya chaguzi inayofanywa ili kupunguza mchuano.

Let the game begin
Mbona unahusisha mada zisizoingiliana kujenga hoja yako????, we huna akili kabisa na unaongea ujinga( Usenge), mbona hao wataalam wengine hawafanyiwi hujuma na hao wanaofanya hujuma ila lissu tu????na nani alikuambia kua anatafuta Public sympathy ,kwanza ili iweje????haya tufanye amepata public sympathy enhee tueleze itamsaidiajr kwenye kinyang'anyiro hicho??? Uwe na adabu na busara unapozungumzia vitu vizito vilivyo kuzidi kimo nyau wewe, kwanza lisuu amekidhi vigezo na michujo yote ndani ya taasisi na amequalify kuwa mmoja Wa wagombea tena wenye nia dhabiti ya kupambana na ushalimu Wa kiimla umozidi kukua siku hadi siku, Dawa ya MTU mwovu ni kumuumbua hadharani , mf , serikali ilitoa tamko kua itafuta hiyo taasisi ,wao(akina lissu ) walitoka hadharani kusema serikali hawana uwezo huo kikatiba ,na kwa nn iwe ishu namna hiyo au kisa Lissu anagombea?????mbona serikali na wewe ukiwemo mnaufyata mkia mapema namna hii, pumbaaavuuuu muacheni agombee kwa haki na Uhuru , na kura zikitosha ndio utaelewa kwa nn alikua anaonesha nia thabiti isiyoteteleka katika kutetea anachoamini.
 
Lissu acha kulialia Pambana na Wataalam Wenzako kama unafanyiwa hujuma na wewe fanya hujuma sio unatuma sms kwenye mitandao kutafuta Public Symphathy.

Lissu anajua na dunia inajua katika kila chaguzi FIGISU FIGISU hazikosi. Namkumbusha tu kidogo Tundu Lissu wakati wa Usaliti wa Yuda Kabwe alitoka na kauli nyingi ambazo ni za hujuma na kipindi kile CHADEMA waliokuwa wanaelekea kwenye uchaguzi wa Ndani wa chama chao.

Halafu mwaka 2015 Lissu alishiriki kumhujumu Slaa baada ya LOWASSA kuhamia CDM na kuwa Mgombea Urais, Tundu Lissu huyu huyu alishiriki kumhujumu Rais wa Mioyoni mwa Wadanganyika.........In short TL atulie na yeye ana nafasi ya kuwafanyia hujuma wagombea wenzake sababu ndio nature ya chaguzi inayofanywa ili kupunguza mchuano.

Let the game begin
Hatutaki malipizi bali kuwasamehe tu kwani hawajui walitendalo. Hujuma mbaya
 
acheni ujinga, nani asiyemlilia ndugu yake akishatangulia mbele za haki?
Nani huyo anayemlaumu jamani? Ndiyo maana hata sisi kwa imani yetu tukikumbuka tu Yesu alivyowambwa mtini kwa ajili yetu huwa tunalia
 
Back
Top Bottom