Madam T, nisamehe bure kabisa.
Huyu binti tayari ameshatimiza miaka 18, hivyo kwa sheria za Tanzania huyu ni mtu mzima, mwenye akili timamu, mwenye haki zote za msingi ikiwepo kupenda na kupendwa as long as havunji sheria, ebu tujitahidi kumhakikishia haki zake hizi, ikiwepo kumsaidia kupambana...