kisokolokwinyo
Member
- Oct 14, 2011
- 65
- 21
ashindwe kisa cha kum-bemenda justin wa watu ye kashazoea watu wazima
Mtasema yote kwa kuwa tu mtoto wa watu ni mzuri halafu ni maarufu. Mademu wangapi wa mitaani nao ni majamvi ya wageni lakini hamwajui kwa kuwa wao si maarufu? Na kila siku mnawasalandia bila kujua!
She is above 18 kwa hiyo si mtoto tena!
Yule msanii wa filamu nchini mwenye sifa ya kuanza mapenzi kwenye umri mdogo ametangaza rasmi kusafiri kwenda majuu kumfuata Justin Bieber. Lulu ametangaza nia yake hiyo leo wakati akihojiwa katika kipindi cha Leo Tena ya Clouds katika kipengele cha Movie Leo. Nyota huyo amesema kwa sasa anachangisha michango ya nauli ili aweze kufanikisha ndoto yake hiyo ya muda mrefu sana. Lulu ameweka wazi kuwa anampenda Bieber kiushabiki wa muziki wake lakini pia hatakuwa na kinyongo endapo dogo huyo ataomba mavituz siku watakayokutana.
mwambieni wako zaidi ya milioni 20 kama yeye....
sifa za kijinga hizo zinamsumbua huyu mtoto wa kwa kopa..
wac wac wangu cjui kama atapata visa, maana visa c ni had uwaclishe vpimo vya isshu flan hv?!....
Mtoto ee? akichanua....maini yaleeee!!!!!huyu mtoto anahitaji zaidi ya ushauri...aibu kwa kweli
wac wac wangu cjui kama atapata visa, maana visa c ni had uwaclishe vpimo vya isshu flan hv?!....
Pale kuna korongo tu la kupitishia maji taka....................
migumegume utaijua tu!!!!Ninyi mkisema wa nini wenzenu tunajiuliza tutampata lini....!!
migumegume utaijua tu!!!!
Acheni unafiki na kujifanya wasafi sana wa tabia. Mnamsakama mtoto wa watu as if you guys are saints and angels. Na humu 90% ya wanaume Lulu akicheza kwenye anga zao wanamtafuna, hawawezi kumwacha kwa kisingizio chochote kile! Acheni unafiki.
Ha ha ha, naona umeamua kuwachana 'live'
Acheni unafiki na kujifanya wasafi sana wa tabia. Mnamsakama mtoto wa watu as if you guys are saints and angels. Na humu 90% ya wanaume Lulu akicheza kwenye anga zao wanamtafuna, hawawezi kumwacha kwa kisingizio chochote kile! Acheni unafiki.