Watu wanazidi kumiminika kwa maelfu yao,, sehemu hii Mwaloni haitoshi kwa wingi wa watu na hasa vijana. Nitaweka photo in few minutes wakubwa. Lakini CCM noumer mazee
weka picha
Utumwa wa akili ni zaidi ya kufungwa jela....achakuwadangaya wa-tanzania,watu walio ktk mkutano huu ni-wakuhesabu,kijana mdogo kawa wewe unakuwa mwongo mchana kweupe,ukizeeka utatusumbua sana wewe...
Utumwa wa akili ni zaidi ya kufungwa jela.
Wana JF nimepewa buku kumi na usafiri wa bure hadi kwenye mkutano wa Nape, nipeni mwongozo niitume kwa Mpesa kwenda kwa familia ya yule kada wa cdm aliyeuliwa na ccm igunga Kama kuna mtu ana namba zao. Ila nashindwa kuvumilia kejeli za hawa magamba natafuta namna ya kuchomoka niwatumie picha...
acha uzushi wewe!
...achakuwadangaya wa-tanzania,watu walio ktk mkutano huu ni-wakuhesabu,kijana mdogo kawa wewe unakuwa mwongo mchana kweupe,ukizeeka utatusumbua sana wewe...
Nafasi unayo, anzisha basi post ya jambo jema alilofanya.
leo kulikuwa na kikao cha cdm ktk kiwanja ganiHata kule ludewa cdm leo mambo si mazuri kabisa.yaani ni vitoto tu vimejazana
Daaah kama ni kweli basi tena kuna haja ya watu wa usalama wa CCM kushauri tofauti.NILIKUWEPO MAGOMENI MWENYEWE,,,
AIBU JAMANI NAPE NA WENZAKE WAMEFIKA MWANZA WAKAPOKELEWA NA VIDOLE VIWILI KAMA ILIVYO KAWAIDA YETU MWANZA,,
AIBU TENA WATU KIDUUUCHU WENGI WAKISOMBWA TOKA KISESA NJE YA JIJI KWA USAFIRI MAALUM
AIBU.....KAMA KUNA MTU MWINGINE ALOKUWEPO KWENYE MKUTANO HUO ANAWEZA KUONGEZEA UZITO,,,MWANZO MWISHO NAPE NA WENZIE WAMEKUA WAKITOA MATUSI MAZITO KWA WASIKILIZAJI WAO eg.kama mnawashwa mshike ukuta,,,wanaume mnamimba,,mheshimu hawara wa mama yako etc,AIBUUUUUUUUUUUUUU,WAMEISHIA KUZOMEWA MWANZO MWISHO
au na yeye ni miongoni mwa wapondaji? kwanini asijiulize kwanini anapondwa?
Wana JF nimepewa buku kumi na usafiri wa bure hadi kwenye mkutano wa Nape, nipeni mwongozo niitume kwa Mpesa kwenda kwa familia ya yule kada wa cdm aliyeuliwa na ccm igunga Kama kuna mtu ana namba zao. Ila nashindwa kuvumilia kejeli za hawa magamba natafuta namna ya kuchomoka niwatumie picha...