Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
- Thread starter
- #41
Mkuu naomba nikukosoe na na na wewe unalta siasa. Za kuwasahau vijana na unasisistiza graduates. baraza la vijana litakaiwa kuongela vijana. Bomu la jaira si la gradutaes tu bomu la ajiralipo hata wa walioishia darasa la saba, form four ,na form six. Ni haki yao kupata ajira na ipato kama wako kijijini.
Kijana kama yu tabora vijijini anatakiwa japo akimaliza la saba au foru four awe anajua jisni ya kijiari wa asali kisasa.
Vijana wa arusha Arusha mwenye vipaji vya kukimbia wanataikiwa wajuliane mapema na JKT iwatarishe mapema ili hata wasipoendela a elimu ya mbele wawe na kipaji kinachweza kuwaingia kipato
Sasa mbunge ana ofisi. Samani za ofisi ya mbuge zinagizwa kutoka dar na dar zinaagizwa kutoka China. Hakuna ubunifu wa mbunge kujua hata yeye anaweza kuajiri kuwa Samani za ofisi yake zitengenzwe na fundi kwenye wilaya yake. NI sababu ya Siasa wanasema taratibu za Manunuzi zilifuatwa.
Hao wanasisasa wanavaa suti za Italy. Sidhani kama kuna mbunge ana uzalendo wa kushonesha hata suti moja kutoka kwa fundi jimboni kwake. Sidhani kama kuna mbunge anaweza kujivunia i uuwa na pair moja ya kiatu atu cha kuchonga. Wanaona aibu.
Kwa hiyo mkuu unazumguzi bomu la vijana sio Graduates tu. La sivyo roba za mbao hazitaisha. TUtasikia hata bibi zetu vijijini wanaanza kupigwa roba za mbao na vijana sababu baraza la vijana wa mjini lilifikira graduates tu.
Kweli kabisa mkuu nimekusoma.
You're right