Nionavyo mimi pia ni kweli kwamba hili ni janga jipya,...ni zuri kwa wapinzani
kwani litachangia kuiondoa ccm madarakani,lakini halita wasaidia wapinzani sana baada ya hapo
maana tatizo hilo hilo laweza kuwaondoa madarakani pia.
Ni vyema sasa serikali ikaangalia jinsi ya kuwawezesha wasomi ili wajiajiri wao wenyewe.
Kwa mfano:-
UDSM,DIT,ARIDHI etc wana hitimu ma-injinia kila mwaka,lakini wote huenda kutafuta ajira kwenye makampuni makubwa
na huko huwa watumishi wa kawaida tu,na possibly wengi husahau hata profession zao.
Serikali ingetoa fungu kwa Mainjinia kama hawa,then waka kabidhiwa bara bara kwa mfano ili waisimamie,
kwanza wangepata experience na tungetengeneza wataalamu kweli kweli sio wataalamu wa nadharia tu
Wakuu kujiajiri proffesionally siyo kitu rahisi for a fresh from school candidate but is possible. Ndiyo maana mnasikia wamarekani wakilalamika jobs jobs kila siku. Personally I have a very good experience towards kujiajiri, I am a living proof kuhusu success and difficulties kuelekea kujiajiri proffesionally. It is not as simple kama watu wengi wanavyofikiri au ku-portray. Anyways kuna mambo yafuatayo yanatakiwa yazingatiwe.
1.
Ufahamu wa hiyo shughuli unayotaka kujiajiri nayo. Hakuna chuo kikuu duniani kinakufundisha say kuwa injinia wa kwenye cement, au karatasi, au chuma. Vinanvyofundishwa shule ni fundamentals na principles. Ukienda kwenye industry ndiyo unakutana na specific trainings.
2.
Uzoefu wa shughuli unayotaka kufanya. Kumbuka unapojiajiri moja kwa moja unaingia kwenye competetion. Consumers wa products zako hawajui wala hawahitaji kujua kwamba wewe ni fresh from school. All they need is better stuffs. Lakini pia kuna kitu kinaitwa corporate culture, unatakiwa uwe na uelewa na uzoefu wa namna gani makampuni yanaoperate. Hili ndiyo tatizo kubwa walilonalo wafanyakazi karibu wote wa serikali duniani.
3.
Mtaji - Hii inaweza kuwa ndiyo centre ya tatizo, Unahitaji kuwa na reliable equipment, magari, wasaidizi etc. Wewe mwenyewe unahitaji kuwa mentally and physically fit. Kumbuka unapotoka shule huna pa kulala, nauli, kula kwenyewe sometimes ni ishu. Kwa mazingira yale ya kibongo ni graduates wangapi wanweza ku-afford just to buy a $500 laptop? Sasa basi kwa shuhuli mfano za kihandisi ambazo nna uzoefu nazo, the amount of money needed is ernomous, na on top of that kuna regulations zinazokulazimisha to spend even more.
4.
Networking - You need to know people and them need to know you kishughuli, kwa Tanzania hii iko even worse kwa sababu you may sometimes be required to be networked with politicians. The idea of networking kwenye mazingira ya kifisadi na kukosekana maadili is always ill-mannered.
Anywayz kifupi ni kwamba, the idea of self employment is the best lakini is much easier ukiajiriwa kwanza say for some five years. Utapapata almost yote niliyoyaelezea hapo juu tena bure. You will build understanding and confidence in your carrier. Attend paid for by the company trainings, workshops, seminars etc. You will easily learn simple stuff such as how to deal with your subordinates, boss, secretary. How to present issues, ideas for implentation etc. In fact you will be doing things that sometimes would have been a disaster to give a try if the $$ were from your pocket.
Hivyo basi kwa nchi yetu bado serikali ina wajibu wa kutengeneza sera nzuri kama vile kuwekeza kwenye nishati, maji, utalii etc. Serikali inahitaji kuondoa ukiritimba, rushwa But the idea kwamba say graduates laki tano wamwagike mtaani of which 90% will be in Dar wajiajiri profesionally is just a pie in the sky.