Wewe bado unawaza misaada na wawekezaji kwa kuwa wakija unapata vijisenti vya mikataba feki. Au hujajitambua
Masaburi mwengine huyu,
Wewe unadhani kwenda kuonyesha fashion show ndio sifa? Mwangalieni Zitto akienda mambo anayoyafanya kajifunzeni kwake mjue. Dunia ya sasa si ya kutalii ni kukimbia muda wa kushangaa umeisha. Bora mie nitakayeleta mwekezaji kwani atatoa kazi, umeme utapatikana, maisha yataboreka kodi itaongezeka kuliko mtalii wenu anaenda kushangaa majengo, kodi inatumika bure, akija hapa kutwa maandamano na kelele nyingi hakuna kitu serikali inaingiza wajinga Tanzania wap