Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
- Thread starter
- #21
Mbunge wangu Jeremia Sumari(ccm) arumeru toka alipochaguliwa hajawahi fika bungeni. hata kuapishwa bado ni mgonjwa.[/QUOTE
pole sana,
hivi sheria zinasemaje ktk hili maana muwakilishi wa wananchi ni mgonjwa kwa muda mrefu sasa
wanasheria tusaidieni hapa