Wananchi hao wametapeliwa fedha zao na kampuni X ambayo imenunua tumbaku kwenye kata hiyo. Malipo ya tumbaku yalipaswa kufanyika mwezi wa tisa lakini hadi leo hakuna chochote.
imagin mtu adai milioni 5 anapewa laki 3 halafu wakulima hawajui hatima yao.
Nenda kawasikiliwe kwa makini...
Kauli hii hutumika pale unapokubali kukiri madhaifu yako au MTU anapozungumza Mambo ya aibu au fedheha lakini huo ndio ukweli na uhalisia.
Mfano, ashakum si matusi, dada yule ni bora alivyokufa kwa kuwa aligharim maisha ya wengi.
Sifa namba 1 awe mwanafunzi
2. Awe amehudhuria masomo kwa miaka husika. Kidato Cha 1 hawezi fanya mtihani wa kidato Cha 4
3. Awe amesajiliwa.inamaana akifukuzwa shule hawezi fanya mtihani atakuwa amepoteza sifa namba 1.
Utajaziwa fomu MAALUMU ya kutolea taarifa hata Kama alisajiliwa
Habari Wananzonde jukwaani
Nimesajili shirika NGO mwaka 2020 ina usajili wa kufanya kazi mikoa yote Tanzania bara (Usajili wa kitaifa) lakini Hadi leo sijafanikiwa kupata fund Mahali popote .
Nimejifanyia tathmini nimegundua kwamba Sina watu wenye weledi kwenye hii NGO. Kwani 99% ya wanachama...
Kuna siku huu uzi utakuwa lulu
Baada ya bendera kushushwa nusu mlingoti huku tukiwalili ndugu,jamaa,majirani ba Mali zao.
Kwa bahati mbaya
Tunaunda tume baada ya tukio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.