Samahani mkuu sijakuelewa kuhusu kupeleka Kwa credit nifafanulie kidogo hapo alafu pia kuhusu kuuza Kwa kilo sijajua huko mkoa gani na ni bei gani inatembea huko mzigo hunapatikana mwingi ninachokitafuta nikupata soko la huakika tu mkuu wanguBei kwa kilo unauzaje?
Kwa mwezi/wiki unaweza kuwa na mzigo kiasi gani?
Mtu akiingia mkatataba na wewe wa mwaka mzima uwe unapeleka kila mwezi utaweza?
Uko tayari kupeleka mzigo kwa 'credit'?
Jiandae kutapeliwa🤐Samahani mkuu sijakuelewa kuhusu kupeleka Kwa credit nifafanulie kidogo hapo alafu pia kuhusu kuuza Kwa kilo sijajua huko mkoa gani na ni bei gani inatembea huko mzigo hunapatikana mwingi ninachokitafuta nikupata soko la huakika tu mkuu wangu
Samahani mkuu sijakuelewa kuhusu kupeleka Kwa credit nifafanulie kidogo hapo alafu pia kuhusu kuuza Kwa kilo sijajua huko mkoa gani na ni bei gani inatembea huko mzigo hunapatikana mwingi ninachokitafuta nikupata soko la huakika tu mkuu wangu
Acha kumtisha mwenzio, tunampa mbinu za kibiashara; ndio maana masikini ni wengi kuliko matajiriJiandae kutapeliwa🤐
umenifungua macho maana hata mm nataka kufanya biashara ya viazi ila sijajua pa kuanzia mkuu
- Usiangalie bei ya wengine, unatakiwa uwe na bei yako.
- Kupata masoko ni rahisi sana, ndio maana nimekuuliza hayo maswali na unatakiwa ujibu; tofauti na hapo utakuwa hauko makini kwenye hii biashara au ndio unaianza.
- Usitegemee mnunuzi mkubwa atakulipa fedha taslimu kwa wakati mmoja, bali mtaingia makubaliano, na wewe utajiunga kwenye mnyororo wa uzalishaji wa bidhaa zake kwa makubaliano maalumu ya kimaandishi; ndivyo makampuni au taasisi kubwa zinavyofanya kazi.
Kama una mzigo mkubwa na unataka iwe kazi yako; unatakiwa uifanyie utaratibu wa nyaraka ili wateja unaowalenga wajue uko makini na unachokifanya; sio leo mzigo upo, kesho unakuwa hauna.umenifungua macho maana hata mm nataka kufanya biashara ya viazi ila sijajua pa kuanzia mkuu
Haahhaa haya mzee babaAcha kumtisha mwenzio, tunampa mbinu za kibiashara; ndio maana masikini ni wengi kuliko matajiri
Natafuta masoko wanunuzi wa dagaa chakula cha kuku naulizia kama kuna anayehitaji hao dagaa tuwasiliane pia mnaweza kunisaidia na kampuni nyingne zenye uhitaji wa bidhaa
Mkuu nahitaji niachie namba yako Niko DarNatafuta masoko wanunuzi wa dagaa chakula cha kuku naulizia kama kuna anayehitaji hao dagaa tuwasiliane pia mnaweza kunisaidia na kampuni nyingne zenye uhitaji wa bidhaa hii
Asanteni sana
Nimekutumia ujumbe inbox mkuuMkuu nahitaji niachie namba yako Niko Dar
Akili za Watanzania, kila kitu wanaona kutapeliwa tu.Jiandae kutapeliwa🤐
MIMI NINAMASHUDU, NAWEZA KULETA TAN 50 KWA WIKI NAOMBA SOKO0765815281