TOUCHBOY TERMINATOR
Member
- Aug 19, 2021
- 38
- 58
Wananchi hao wametapeliwa fedha zao na kampuni X ambayo imenunua tumbaku kwenye kata hiyo. Malipo ya tumbaku yalipaswa kufanyika mwezi wa tisa lakini hadi leo hakuna chochote.
imagin mtu adai milioni 5 anapewa laki 3 halafu wakulima hawajui hatima yao.
Nenda kawasikiliwe kwa makini zaidinwananchi.
MKOA WA RUVUMA
WILAYA YA SONGEA VIJIJINI
KATA MATIMILA
VIJIJI NI MPINGI NA KIKUNJA
imagin mtu adai milioni 5 anapewa laki 3 halafu wakulima hawajui hatima yao.
Nenda kawasikiliwe kwa makini zaidinwananchi.
MKOA WA RUVUMA
WILAYA YA SONGEA VIJIJINI
KATA MATIMILA
VIJIJI NI MPINGI NA KIKUNJA