Kauli hii hutumika pale unapokubali kukiri madhaifu yako au MTU anapozungumza Mambo ya aibu au fedheha lakini huo ndio ukweli na uhalisia.Wadau wa lugha naomba kujuzwa nini maana ya "Ashakum si Matusi"? Au hii sentensi inatumikaje?
Ashakum = samahani kwa kauli/msemo
Ashakum = pardon the expression
Ashakum si matusi = samahani kwa kauli, nitakalolisema si matusi!