Mke wangu acha kupaniki,hujawahi kufanya biashara ndio maana huwezi kuelewa TRA ilichokua inakifanya.
We tulia hapo nyumbani wanaume tutakuletea mahitaji ya nyumbani upike,ila haya mambo ya Tra achana nayo maana huyajui.
Daah kuna mshkaji alikua na tabia hizo za kikuda kuda (Mood swings) mara aongee, kesho anune aisee nilimchana nikamwambia sitakagi mazoea kabisa na washkaji wenye Hizi tabia za kama vile demu aliyeko period.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.