Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,766
Habari za wakati huu wakuu, poleni kwa kazi na majukumu yenu ya kila siku. Eeeh bhana ujue nimekuwa nikisia wana wakisema ukitoka kwenda kunywa na marafiki kuna faida kama kupata michongo ya biashara na connections mbali mbali.
Leo mimi kitu nimefaidika nacho kwenye pombe, nimekunywa bia zangu mbili tu kajileta dada wa promosheni ya Bia fulani hivi ..! Bia inatrend sana kule twira, huyu dada bhana si akavutiwa na mastori.
Nimepiga naye stori, sana na nikamuomba mzigo kanipa nimepiga aseee.! Nimeinjoy japo nimelewa mpaka muda huu naandika haya nimelewa. So toka nianze kunywa pombe, hiyo ndio faida naweza isema ..!
Wanywa Pombe oyeeee
Leo mimi kitu nimefaidika nacho kwenye pombe, nimekunywa bia zangu mbili tu kajileta dada wa promosheni ya Bia fulani hivi ..! Bia inatrend sana kule twira, huyu dada bhana si akavutiwa na mastori.
Nimepiga naye stori, sana na nikamuomba mzigo kanipa nimepiga aseee.! Nimeinjoy japo nimelewa mpaka muda huu naandika haya nimelewa. So toka nianze kunywa pombe, hiyo ndio faida naweza isema ..!
Wanywa Pombe oyeeee