Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Huko Morogoro ni Balile!
Huko Morogoro ni Balile!
This is a hopeless guy alikuwa anajikomba sana kwa Magufuli. Hakuona kuwa kuna haki za binadamu zilikuwa zinavunjwa sana na Magufuli. Hopeless
Kwani Balile ni kabila gani?Balile huwa ana tabia za kujikomba ile mbaya, hata akitoa ushauri anakuwa biased sana.
Ahaaa ahaaa mzee Mgaya naona una utani na Balile.Kwani Balile ni kabila gani?
Angekuwa muhaya nisingeshangaa kama anajikimba!
Ni Muhaya tangia hapo!Kwani Balile ni kabila gani?
Angekuwa muhaya nisingeshangaa kama anajikimba!
Huyu anaangushwa na umri , wanasema anakaribia 68Paskali Mayalla amekuwa nani huko, maana na yeye huwa anajitoa ufahamu sana linapokuja suala la ulaji.
Ahaaa ahaaa eti anakaribia 68. Mayalla hafiki 60 kaka, kama ana mingi yuko above 55 lakini 60 hajafika. Ni age mate na Balile.Huyu anaangushwa na umri , wanasema anakaribia 68