Recent content by The Gunners

  1. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Mkuu mimi nida na cheti cha kuzaliwa vina majina matatu ila vyet vya taaluma vina majina mawili je affidavit inahitajika
  2. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wakuu kwa Kai tulipigwa na kitu kizito hakuna mchezaji humo Sent from my SM-J415F using JamiiForums mobile app
  3. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Id
  4. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wee jamaa comments zako nyingi huwa ni baada ya timu kufungwa tu inaonekana timu inapofanya vizuri huwa unaumia
  5. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sasa hivi wapo kimya kama vile hakuna kilichotokea subiri tufingwe sasa
  6. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna mashabaki wa Arsenal humu huwa wanasubiri timu ifanye vibaya ili waje kumnanga kocha . Ikishinda sasa kimya kama hawapo
  7. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna watu wanajifanya kuujua mpira humu.
  8. The Gunners

    JamiiForums Tanzania 2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    India wako bilioni n ushee na bada hawana la maana kwenye soka
  9. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ni kipindi cha mpito tu mnaosubri timu ifanye vibaya ili muinange ni muda wenu sasa
  10. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mkuu kama sikosei nakumbuka ulihamia PSG kulikoni tena timu uliyoihama inakuumiza kiasi hiki
  11. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ndio kwanza tupo nusu ya safari mshaanza kukata tamaa.
  12. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tembo kama Tembo
  13. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Must see Movies

    Msaada wakuu tv yangu hai play video zilizo kwenye format ya mkv. Naombeni msaada namna ya kuibadili movie kwenda mp4 kwa quality ileile.
  14. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kila lenye heri na likawe juu yako huko unakohamia.
  15. The Gunners

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kinachoweza mkuta Manchester city kama itathibitika ndivyo
Back
Top Bottom