Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilikubaliana na maoni yaliyosema Arsenal msimu tutauanza January kwa sasa hivi tufocus na kuhakikisha mtu wa kwanza hatuzidi points zaidi ya 4.

Ikifika January watu wote wakirudi ndiyo tuanze msako. Arsenal inajua kuoverdeliver na kuunderdeliver. Matokeo yake January haijafika Arsenal kaoverdeliver kawa wa kwanza.

Hapo bado hiyo january haijafika. Sasa mtihani upo kwenye kumaintain
 
🚨 Victor Osimhen is Mikel Arteta’s first choice CF, per source.

No movement expected for Arsenal in the CF market until his future is decided. Osimhen will decide between Arsenal or Chelsea.

✍🏾 Confirmed na TNTX
 
Arsenal mnapiga mark time halafu mnajipongeza. Arteta hatawapeleka popote ukilinganisha na Unai walau angewaweka top 4 na kucheza final ya Europa.

Kwa msiofahamu ni kwamba mnamzidi Villa point 2 tu! Halafu hamis77 anawadanganya kuwa arteta ni top coach kuliko Unai.
 
Arsenal mnapiga mark time halafu mnajipongeza. Arteta hatawapeleka popote ukilinganisha na Unai walau angewaweka top 4 na kucheza final ya Europa.

Kwa msiofahamu ni kwamba mnamzidi Villa point 2 tu! Halafu hamis77 anawadanganya kuwa arteta ni top coach kuliko Unai.
Usilie basi.. Kama mnaona anawafaa mngemchukua nyie akaifundishe timu yenu mbovu.
 
Muda wa kukaba mbwa wetu ndo huu,

Siwez kukubali team yangu pendwa ushike daraja, nazitaka pointi tatu leo dhidi ya Nyumbu
 
Nilikubaliana na maoni yaliyosema Arsenal msimu tutauanza January kwa sasa hivi tufocus na kuhakikisha mtu wa kwanza hatuzidi points zaidi ya 4.

Ikifika January watu wote wakirudi ndiyo tuanze msako. Arsenal inajua kuoverdeliver na kuunderdeliver. Matokeo yake January haijafika Arsenal kaoverdeliver kawa wa kwanza.

Hapo bado hiyo january haijafika. Sasa mtihani upo kwenye kumaintain

Remember, no international break til March 2024.
 
20231126_212451.jpg
 
Arsenal mnapiga mark time halafu mnajipongeza. Arteta hatawapeleka popote ukilinganisha na Unai walau angewaweka top 4 na kucheza final ya Europa.

Kwa msiofahamu ni kwamba mnamzidi Villa point 2 tu! Halafu hamis77 anawadanganya kuwa arteta ni top coach kuliko Unai.
Sasa kama sisi vinara inabidi tuhofie kwakua tumemzidi villa points mbili hao walio chini yetu wafanyaje?

Nyinyi ambao hamuwezi kumfikia villa mfanyeje?
 
Arsenal mnapiga mark time halafu mnajipongeza. Arteta hatawapeleka popote ukilinganisha na Unai walau angewaweka top 4 na kucheza final ya Europa.

Kwa msiofahamu ni kwamba mnamzidi Villa point 2 tu! Halafu hamis77 anawadanganya kuwa arteta ni top coach kuliko Unai.
Ni kweli Arsenal imemzidi Aston Villa ya Unai Emery kwa alama 2 tu, vipi wewe uliye na Kocha wa Viwango na timu nzuri kuliko anayofundisha Arteta ya Arsenal vipi umemzidi huyo Aston Villa Point ngapi?

Kwa taarifa yako, tembo ameshakaa Juu mtini, hashuki awamu hii
 
Back
Top Bottom