Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi ni Gunners mpaka Card ya Uanachama nilinunuaga wakati nasoma PhD UK,lakini kila siku huwa nampinga huyu mpuuzi HAMIS na uongo wake humu,hata leo alipoandika humu kwamba tunashinda nilimwambia aache uhuni wake tuna Timu mbovu tena ya KICHOKO,na ndicho kilichotokea,hii ni Timu lainilaini,nina wasiwasi hawa wachezaji watakuwa wanafirana sio bure
 
Kuna mdau humu alituambia Real Madrid and Manchester City pekee ndio washindani wa Arsenal kwenye Champions league au alikuwa anatania ?
Mkuu achana na walevi wa mnanas.

Ww na wengne wachache washabim wa Gunners ndo expectations zao ziko normal.. Hawa wengne wanawaza Mercedes wakata hata baiskel hawana.
 
Back
Top Bottom