Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Me nishafika mkuu.Matenti na misosi tayari yashaandaliwa
Me nishafika mkuu.Matenti na misosi tayari yashaandaliwa




ashindwe RVP aje aweze saka manyweleMarehemu bado anajamba ngoja tumpigie la mwisho kichwani afe vzr



Marehemu bado anaonesha dalili za uhai sio jambo zuriii...Tukiwaambia hapa team ya ubingwa hamna.. Mnadhan tunawatania.. Hata dunia iende irud Arsenal hawez beba ligi nyakat izi team za maana zipo.. Villa ana nafas kubwa ya kufny surprise ya ubingwa kuliko Arsenal.Leo nabidi nikae kimya tu



Msichukulie serious maneno ya walevi ,wao wakilewa wanaweza kukuuzia hata mlima Kilimanjaro.Kuna mdau humu alituambia Real Madrid and Manchester City pekee ndio washindani wa Arsenal kwenye Champions league au alikuwa anatania ?
yani ukianza kuona hamis77 kaponguza kuja jukwaani ujue ameanza kunusa dalili mbaya jamaa ni muoga sana aise.View attachment 2858676





Mkuu achana na walevi wa mnanas.Kuna mdau humu alituambia Real Madrid and Manchester City pekee ndio washindani wa Arsenal kwenye Champions league au alikuwa anatania ?